Wanyama hawa hutabiri vifo vya wanadamu

Wanyama hawa hutabiri vifo vya wanadamu

Paka na Mbwa hulia sauti ya ajabu chunguza wanakua kwenye kile kipindi chao cha joto a.k.a kupandiana.... milio ile hua wanatoa kwa sababu wana communicate maana mbwa/paka dume hulazimika kwenda mbali kutafuta majike na bado inabidi wagombanie kupata ile chance ya ku... lol
atleast kwa Paka kidooogo anakua na girlfriend wake 'pamanent'..... pia milio ile ya paka unaweza kuona ya kutisha kumbe wenzako wanakua kwenye lisebene maana Paka wana enjoy sex kama binaadam....

Kuhusu Bundi sijui, mpaka umri huu sijawahi kumuona huyo ndege live japo natamani sana.
 
Ziko imani zingine unaweza kuzieleza kisayansi 1.Ukifuga kondoo anasaidia kuzuiya radi 2.Mwanamke akila mayai sana wakati wa uja uzito atazaa mtoto hana nywele kabisa
MAELEZO:-
1.Chukua ruler ya plastic isugue kwa kutumia pamba au mkono wako kisha kata vipande vidogo vya karatasi.Sogeza hiyo ruler vipande vitajinasa kwenye ruler kama sumaku.Kwanini? hiyo ni static electricity.Kondoo ana manyoya mengi anapotembea anajisugua kwenye ukuta mbao na miti wakati akifanya hivo bila kujua mwili mzima manyoya yake yanakuwa na charge za chanya(positive).Radi inapopiga mahali karibu na kondoo kondoo anarushwa mbali sana na sehemu hiyo kwasababu chaji za chanya za mawingi zinatafuta mahali pa kushukia sasa kwa sababu zinafanana na manyoya ya kondoo zinamfanya kondoo ana repel maana ni like charges.Hivo radi inaposhindwa mpiga kondoo inatafuta kitu kingine karibu ili zile charge ziende ardhini kwenye charge hasi.Ukikuta kondoo amekufa kwa radi sio radi iliyomuua bali ni kule kubamizwa mbali kule anakojigonga.Kwa utafiti chunguzeni sana wakati wa mawingu mengi sana mvua inapotaka kunyesha kondoo unaweza wakuta wameinamisha vichwa vyao wanaangalia chini kimya sana.Sababu wanapata msukosuko wa charge za manyoya yao kufanana na mawingu yanayopita angani hivo wanakosa raha sana.
2.Mwanamke akila mayai sana mtoto atakuwa mkubwa sana hivo mwanamke atazaa mtoto mkubwa sana atashindwa kutoka mama anaweza kufa kumbuka zamani kulikuwa hakuna operation ya mtoto.Babu zetu mungu aliwaongoza sayansi hii bila ya wao kujua.Siku hizi wanawake wengi wanajifungua kwa kisu sababu mila hii haipo wao chips mayai nyama kujifungua inakuwa tabu
Kondoo nakubaliana na wewe 100%, na kama itakuwa ni malishoni ikanyesha mvua ya radi anatulia tuli kainama na ukimlazimisha kwenda ataenda lakini kabla hujaona mwanga wa radi husimama ghafla mpaka mlio wa radi utoke utaona wanatembea tena, nilipokuwa mdogo niliwahi wauliza wahenga nao wakasema hapo wanapingana na radi
 
Lakini pia mtoa mada yupo sahihi japo katumia strong word "Uchuro",
Wanyama wana uwezo wa kuona matatizo yajayo kwa kua hawawezi kukwambia basi wanakupa ishara ya kulia,
mfano mzuri kwa wafugaji hutokea ng'ombe hawatulii bandani fujo mtindo mmoja hata wengine huweza kubomoa banda na kukimbia basi na wewe wafate utashangaa mafuriko yanakuja, wamejuaje utashangaa.

NOTE: sio kama ni uchuro au uchawi ila wanyama wamepewa uwezo wa kutambua matatizo yajayo na wanakufahamisha kwa kulia.
 
Wawindaji mara nyingi wana signal flani hivi, ukienda porini unaweza kutana na ndege, sasa huyo ndege ana aina mbili za signal, moja anaweza kukutahadhalisha na hatar, na ya pili kukuonyesha mali eg asali nk.
Sasa how can identify merits&d'merits kazi inakuwaga hapo
hii ya ndege kukujulisha hatari wala sio uchawi hata kukiwa na nyoka kwenye mti ndege wanapiga kelele sana.Kuna ndege flani porini akipiga kelele tu wanyama wengine kama pundamilia wanakimbia wanajua kuna simba karibu au muwindaji nani ameangalia flamu ya god must be crazy
 
hii ya ndege kukujulisha hatari wala sio uchawi hata kukiwa na nyoka kwenye mti ndege wanapiga kelele sana.Kuna ndege flani porini akipiga kelele tu wanyama wengine kama pundamilia wanakimbia wanajua kuna simba karibu au muwindaji nani ameangalia flamu ya god must be crazy
Part gani niliangalia ile filamu yote haichoshi kuangalia
 
Updates: Paka nilie mjeruhi. Leo SAA 12:07pm usiku amekuja mbwa mweupe akajichanganya kutafuta msosi si mbwa mnyama ni MTU.Nilicho mfanya atakwenda kusimulia huko nilimpatia topito ya jicho ametoka akijiburuza asubuhi nyumba ya saba kuna NTU anaumwa ghafla nitatembea huko nikathibitishe.
 
Mshikilie Mungu sana yeye ndiyo anajuwa hatima ya binadamu hao viumbe hawana lolote kuna mabaka hapa yanalia unaweza kusema n mtt ila hakuna lolote hiyo Imani anayejuwa siku n Mungu hata bwana hajui soma neno soma kuruani acha maneno
 
Kwa uwezo wa kusense na kuforecast mwanadamu anapitwa mbali sana na viumbe wengi sema hawana uwezo wa kutamka tukawaelewa kiurahisi. Instincts zao ni very powerful
 
Cmu za touch ni kama gegedo lililopakwa grisi karibu na papuchi ukiteleza tu kimenuka
 
Habari wana Jf.
Naandika bandiko hili baada ya kufanya utafiti Kwa muda mrefu.

Mbwa, paka, bundi wanapolia usiku Kwa sauti ya ajabu kama sauti za wanadamu wanaolia Kwa uchungu hutabiri kitu.

Utafiti umenithibitishia juzi mbwa na bundi walilia sana usiku Kwa mfululizo Jana tumezika MTU mtaani kwetu. Hali hii imekuwa ikitokea Mara Kwa Mara wanyama na ndege huyo wanapolia.

Mbwa hulia Kwa kuweka mdomo juu.Paka hutoa sauti isiyo ya kawaida Kwa kubana koo lake. Bundi hutoa mlio Kwa sauti nene yaani bass.

Mwenye zaidi karibuni
Njoo kwa YESU ukombolewe.
 
Nyaaaaaaaauu..... Ukisikia hivo mtaa alaf paka hajapigwa kalia mwenyewe ujue mtaa wapili mnazika mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom