Wanyama hawa hutabiri vifo vya wanadamu

Wanyama hawa hutabiri vifo vya wanadamu

Kuna baadhi ya wanyama kama ulio wataja hapo huweza kuona roho za binadamu walio kufa Kwa hiyo wanaona kila kitu kinavyo enda pale roho za binadamu zinavyo uacha mwili hasa hawa wanyama wa nyumban kama paka na mbwa.Nishawai kusoma somewhere paka alikuwa pembeni ya kitanda cha jamaa ambae alikuwa hoi anaumwa muda jamaa anakata kamba paka akacheza nayo sana roho ya jamaa yaani dizaini kama paka anacheza na mdudu hivi kwenye sakafu kama dakika mbili hivi ile kumcheki jamaa ameshafariki.
 
Kuna baadhi ya wanyama kama ulio wataja hapo huweza kuona roho za binadamu walio kufa Kwa hiyo wanaona kila kitu kinavyo enda pale roho za binadamu zinavyo uacha mwili hasa hawa wanyama wa nyumban kama paka na mbwa.Nishawai kusoma somewhere paka alikuwa pembeni ya kitanda cha jamaa ambae alikuwa hoi anaumwa muda jamaa anakata kamba paka akacheza nayo sana roho ya jamaa yaani dizaini kama paka anacheza na mdudu hivi kwenye sakafu kama dakika mbili hivi ile kumcheki jamaa ameshafariki.
Sifugi tom cat[emoji51]
 
Basi tungekuaa tushakufa wote kwangu huu ni mwaka wa pili mapaka yanalia kama watoto mimi sio muoga huwa natafuta kujua why wanalia hivyo nikaja kujua ni kipindi fulani baada ya kipindi fulani. Wakati paka jike akiwa kwenye heat huwa wanafuatwa na madume so hivyo ndivyo hulia wakati huo.
Itabidi uwe wapiga na kapicha tuone hiyo mivurugano ya mapaka wakiwa heat
 
wakilia karibu au juu ya paa za ofisi za serikali inamaanisha nini ?
 
Habari wana Jf.
Naandika bandiko hili baada ya kufanya utafiti Kwa muda mrefu.

Mbwa, paka, bundi wanapolia usiku Kwa sauti ya ajabu kama sauti za wanadamu wanaolia Kwa uchungu hutabiri kitu.

Utafiti umenithibitishia juzi mbwa na bundi walilia sana usiku Kwa mfululizo Jana tumezika MTU mtaani kwetu. Hali hii imekuwa ikitokea Mara Kwa Mara wanyama na ndege huyo wanapolia.

Mbwa hulia Kwa kuweka mdomo juu.Paka hutoa sauti isiyo ya kawaida Kwa kubana koo lake. Bundi hutoa mlio Kwa sauti nene yaani bass.

Mwenye zaidi karibuni [emoji250] [emoji240] [emoji211]
Tulale makundimakundi kuogopa popobawa
 
Habari wana Jf.
Naandika bandiko hili baada ya kufanya utafiti Kwa muda mrefu.

Mbwa, paka, bundi wanapolia usiku Kwa sauti ya ajabu kama sauti za wanadamu wanaolia Kwa uchungu hutabiri kitu.

Utafiti umenithibitishia juzi mbwa na bundi walilia sana usiku Kwa mfululizo Jana tumezika MTU mtaani kwetu. Hali hii imekuwa ikitokea Mara Kwa Mara wanyama na ndege huyo wanapolia.

Mbwa hulia Kwa kuweka mdomo juu.Paka hutoa sauti isiyo ya kawaida Kwa kubana koo lake. Bundi hutoa mlio Kwa sauti nene yaani bass.

Mwenye zaidi karibuni [emoji250] [emoji240] [emoji211]
Umeleta ka utafiti ka kuhisi tu labda uba kaimani ka kipagan vile au ulishajengwa ktk mazingira hayo tangiwa ukiwa mtoto mpk leo yamekukaa hayo.

Ila naomba ujib swali langu,je hao wanyama uliowataja wasipolia watu hawafi?

Km kigezo ndo hicho cha watu kufa kwa kulia wanyama hao basi tuwaamishe au tuwatokomeze ili tusife.
 
Wawindaji mara nyingi wana signal flani hivi, ukienda porini unaweza kutana na ndege, sasa huyo ndege ana aina mbili za signal, moja anaweza kukutahadhalisha na hatar, na ya pili kukuonyesha mali eg asali nk.
Sasa how can identify merits&d'merits kazi inakuwaga hapo
 
Wachawi wanajigeuzaga mbwa, paka etc so utadhani wanyama kumbe wanga wanakuloga
 
Kuna siku mbwa walikuja kulia kwangu. Mlangoni kabisa. Watu wakasema, kuna shida inakujia. Mwaka wa pili huu unakatika, hakuna cha shida wala Mwajuma.
Pengine ulimwaga mifupa karibu na mlangoni kwako
 
Habari wana Jf.
Naandika bandiko hili baada ya kufanya utafiti Kwa muda mrefu.

Mbwa, paka, bundi wanapolia usiku Kwa sauti ya ajabu kama sauti za wanadamu wanaolia Kwa uchungu hutabiri kitu.

Utafiti umenithibitishia juzi mbwa na bundi walilia sana usiku Kwa mfululizo Jana tumezika MTU mtaani kwetu. Hali hii imekuwa ikitokea Mara Kwa Mara wanyama na ndege huyo wanapolia.

Mbwa hulia Kwa kuweka mdomo juu.Paka hutoa sauti isiyo ya kawaida Kwa kubana koo lake. Bundi hutoa mlio Kwa sauti nene yaani bass.

Mwenye zaidi karibuni [emoji250] [emoji240] [emoji211]
Wewe ni mjinga na imani zako.
Paka wanaliaga hizo kelele wakiwa ktk HEAT.
uwe unaitumia google pia kutafuta utafiti wa kisayansi na majibu yake kutoka kwa wabobezi waliofanya utafiti.
 
Wanyama wana Mambo Sana.
Maiti ikiwa inapiga kelele wao wanasikia
 
Habari wana Jf.
Naandika bandiko hili baada ya kufanya utafiti Kwa muda mrefu.

Mbwa, paka, bundi wanapolia usiku Kwa sauti ya ajabu kama sauti za wanadamu wanaolia Kwa uchungu hutabiri kitu.

Utafiti umenithibitishia juzi mbwa na bundi walilia sana usiku Kwa mfululizo Jana tumezika MTU mtaani kwetu. Hali hii imekuwa ikitokea Mara Kwa Mara wanyama na ndege huyo wanapolia.

Mbwa hulia Kwa kuweka mdomo juu.Paka hutoa sauti isiyo ya kawaida Kwa kubana koo lake. Bundi hutoa mlio Kwa sauti nene yaani bass.

Mwenye zaidi karibuni [emoji250] [emoji240] [emoji211]
Mbovumbovu hizo, hats hivyo aliyekufa hafi tena usihofu
 
Back
Top Bottom