Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 4,218
- 5,895
haya mambo kiimani yana work sana. wataalam wa imani wanasema wanyama kama mbwa usiku wanaona sana ndo maana wanyawi hawampendi kabisa mbwa. hata hivyo kuleta madhara inategemeana na imani yako. Ukiwa imara katika imani yako ya dini unayoiamini, hayataweza kukudhuru. kama unaamini katikani imani za jadi hakika utadhurika usipochukua taahadhari. kwa mkristo aliyesiomama hata wangelia mara elfu hakika hautaathirika. katika uislam sijui maana mimi siyo uumuni huko.