hahahaKwa kawaida wanyama na ndege wana uwezo wa kuona visivyoonekana...ndy maana hata kwenye TSUNAMI na mambo mengine ya KIDUNIA wanyama na ndege hukimbia kabla ya TSUNAMI kutokea....
ki imani tunaweza kusema kweli hata kisayansi kuna baazi ya vitu utumia wanyama.Habari wana Jf.
Naandika bandiko hili baada ya kufanya utafiti Kwa muda mrefu.
Mbwa, paka, bundi wanapolia usiku Kwa sauti ya ajabu kama sauti za wanadamu wanaolia Kwa uchungu hutabiri kitu.
Utafiti umenithibitishia juzi mbwa na bundi walilia sana usiku Kwa mfululizo Jana tumezika MTU mtaani kwetu. Hali hii imekuwa ikitokea Mara Kwa Mara wanyama na ndege huyo wanapolia.
Mbwa hulia Kwa kuweka mdomo juu.Paka hutoa sauti isiyo ya kawaida Kwa kubana koo lake. Bundi hutoa mlio Kwa sauti nene yaani bass.
Mwenye zaidi karibuni![]()
![]()
![]()
Kama bado hao mbwa wapo hai endelea kusubiri utabiriKuna siku mbwa walikuja kulia kwangu. Mlangoni kabisa. Watu wakasema, kuna shida inakujia. Mwaka wa pili huu unakatika, hakuna cha shida wala Mwajuma.
Duh! Mtafute Mshanajr akusaidie katika hilo.Siku baba yangu mzazi anafariki usiku mbwa walikua wanalia sana mpaka mdogo wangu akawa analalamika kua hawa mbwa c kawaida kulia hivyo usiku huohuo baba yangu alifariki Rip my dady
Duh! Mtafute Mshanajr akusaidie katika hilo.Siku baba yangu mzazi anafariki usiku mbwa walikua wanalia sana mpaka mdogo wangu akawa analalamika kua hawa mbwa c kawaida kulia hivyo usiku huohuo baba yangu alifariki Rip my dady
Imani tu za kiswahili.Kama bado hao mbwa wapo hai endelea kusubiri utabiri