yeye hakuona umuhimu wa kujiajiri, but anataka sisi ndiyo tujiajiri tu, simjui in neither out, so is she,hatujui in nor out, but ana tupangia cha kufanya, the only thing I know ni kwamba yeye alipambana kufa na kupona ili aipate ajira aliyonayo sasa
Wewe ni chawaa tu huwa unijafanya mlengo wa kati kumbe ni msengeeeKizimkazi ni swalama kabisa sisi wa bara ndo tuna tabu
Like mother like daughterHii familia inajua sana kutoa kauli za kuwaudhi watu.
Kweli haramu ni haramu tu.
Upumbavu mtupu! Kama ni kujiajidi hizo fedha tulizotumia kuwasomesha ndio zingetumika kama majukumu. Na kama sio wananchi kupeleka watoto mashuleni hata hiyo nafasi aliyopewa na mama yake isingekuwepo. Maana kusomesha kwetu ndio kumefanya hiyo wizara ambayo yeye ni n/Waziri iwepo. Muhimu waacche ufisadi na kuchezea Kodi zetu,waanzishe viwanda na miradi mingi,ajira zitakuwepo kwa wahitimuKaongea ukweli
Tena hana sifa ukilinganisha na maelfu ya vijana walioko kitaa!Mbona yeye ameajiriwa?