TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Wangelivua gamba ( kama walivyowaaminisha wananchi hapo awali) hadithi ingelikuwa nyingine kabisa.
Vyama vya Upinzani vingepata shida kidogo kujenga hoja ya kuiondoa CCM madarakani. Yale maamuzi yalikuwa sahihi na jinsi Nape alivyoanza kuwasha moto kipindi kile, loh! hali ingekuwa tofauti kabisa.
Nina imani hata Igunga wansingeshinda kwa taabu, Arumeru mashariki wasingeshidwa kirahisi vile, idadi ya madiwani na viongozi wa mitaa wa vyama vya upinzani wasingeongezeka.
Wewe unasemaje kuhusu hili ?
Vyama vya Upinzani vingepata shida kidogo kujenga hoja ya kuiondoa CCM madarakani. Yale maamuzi yalikuwa sahihi na jinsi Nape alivyoanza kuwasha moto kipindi kile, loh! hali ingekuwa tofauti kabisa.
Nina imani hata Igunga wansingeshinda kwa taabu, Arumeru mashariki wasingeshidwa kirahisi vile, idadi ya madiwani na viongozi wa mitaa wa vyama vya upinzani wasingeongezeka.
Wewe unasemaje kuhusu hili ?