EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,701
Singo inayotamba kitaani kama Nyegezi ndo mimi ila warembo wamenibania kama basata
Siku hizi matako yanalipiwa?Ndio kama huna basiii sijui
Wewe niache bhana niko njia pandaSiku hizi matako yanalipiwa?
😂😂😂😂😂 hadi raha hapo mimi ni nadekaga na kuongea english ila niko njia panda.Dah...
Mimi huwa nakuwa single wa dharura panapotokea uhitaji.
Mtoto mzuri akitokea anahitaji msaada kwenye tuta, huwa nakuwa single for the next three months.
Then narudi hali yangu ya kuwa coupled.
Watoto wazuri ninaowapendaga ni:
1)Wanaojua kudeka deka, mpaka najikuta nahonga bila kupenda.
2)Wenye matege ya mikono.
3)Wenye mwanya meno ya chini.
4)Mengine huwa navumulia tu.
HayaMimi mpenzi mtazamaji
Tayri nimeshapata chombo yna2 anafiti kila upande hivyo huu uzi haunifai aseee kwaherini
WwUsiogope mimi nipo njia panda ila kama wewe upo single na una wish kuwa na kitu amazing tuambie Vijana na wasichana.
Huu ndio muda wakushuka shukeni.
Mtu ashuke tu mimi nipo single na ningependa kuwa na demu wa aina hii.
Au na mfeel mtu huyu.
Tiririkeni .
Mpaka sasa sijijui nikijichungulia nitakupa jibu.Ww
me au ke
Hebu fanya chap basiMpaka sasa sijijui nikijichungulia nitakupa jibu.
Eti nimejichungulia ila niko njia panda.Hebu fanya chap basi
Kwahiyo flat screen imekula kwetu?Mimi bila kupata chura kubwa heri nibakie single milele!![]()
Hebu piga picha unitumie nitakupa jibu zuuuri kabisaEti nimejichungulia ila niko njia panda.
Tatizo niko njia pandaHebu piga picha unitumie nitakupa jibu zuuuri kabisa
Kweli umenivutia sanaMimi napenda demu aliyetulia,siriazi,mkorofi,mzuri,ambaye hana tamaa,Mwenye heshima kwa kila mtu.huyo ndiye nimpendae
Hahahaha. Usiniambie una mbiliTatizo niko njia panda