Wangapi wapo single humu?

Wangapi wapo single humu?

Ndio huu uzi ni wakutafuta wachumba waliosingle time yao ni sasa karibuni mpate kuwa double
 
Da Vinci
Nipo njia panda ndugu sijui nifanyaje mpendwa sijui nipo njia panda .
Kwa sasa naweza ringa nikaumbuka naweza nisiringe nikaumbuka vile vile.
ukisimama njia panda sana mvua itakukuta hapo au gari litakuacha kabla ya kufanya maamuzi ya kwenda either g.mboto au mbagala be strong chagua kile akili yako inaona ni sahihi .. Here I am just for you..
 
ukisimama njia panda sana mvua itakukuta hapo au gari litakuacha kabla ya kufanya maamuzi ya kwenda either g.mboto au mbagala be strong chagua kile akili yako inaona ni sahihi .. Here I am just for you..
Sawa asantee.
 
Tatizo lenu mnataka penzi na ndoa papohapo! We wape vijana mambo wa kuoa atapatikana tu.
Da Vinci
Nipo njia panda ndugu sijui nifanyaje mpendwa sijui nipo njia panda .
Kwa sasa naweza ringa nikaumbuka naweza nisiringe nikaumbuka vile vile.
 
Hakuna watu ambao hawaendani! Hizo ni hisia zako tu, mapenzi yanajengwa haswa uaminifu na kusameheana na usipende kufuatilia anachofanya mpenzi wako utaishia kuumia na kuachana nae.
Penzi na ndoa ni uongo lazima tupeane muda wakujuana je kama hamuendani ndio mambo yakutoka njee.
 
Back
Top Bottom