Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Nimepaona love...nimeshamjibu kunako Uzi wa chombo ya yna2Kule juu
Nimepaona love...nimeshamjibu kunako Uzi wa chombo ya yna2Kule juu
Punguza vigezo hujui humu kuna watu wanakupendaga ila kigezo chako ndio kinakuweka mpweke legeza sema chura iwe wastani ila awe mrembo sio sana nitaibiwa asiwe mrefu sana wastani couze nitashindwa kushika yote miguu vizuri .Sasa kama napenda chura nisiwe muwazi??!![]()
Mimi bila kupata chura kubwa heri nibakie single milele!Punguza vigezo hujui humu kuna watu wanakupendaga ila kigezo chako ndio kinakuweka mpweke legeza sema chura iwe wastani ila awe mrembo sio sana nitaibiwa asiwe mrefu sana wastani couze nitashindwa kushika yote miguu vizuri .
Basi ule mzigo wako kirahisi so nataka chura nenda miferejini.



Unahela ??Mimi bila kupata chura kubwa heri nibakie single milele!![]()
nitayashinda tu hayo majaribu maana kupata kitu kizuri lazma utapitia vikwazo vingi, survival of the fittest itatumika hapo.Eh atakaye wahi ila unaweza kushinda majaribu couze huku niliponjia panda pamejaa visaa.
We ni Ke au Me na status yako ni ipiUsiogope mimi nipo njia panda ila kama wewe upo single na una wish kuwa na kitu amazing tuambie Vijana na wasichana.
Huu ndio muda wakushuka shukeni.
Mtu ashuke tu mimi nipo single na ningependa kuwa na demu wa aina hii.
Au na mfeel mtu huyu.
Tiririkeni .
Ndio utoke hapo njia panda, uje ujiweke kwangu.😂😂😂😂😂😂 ushindwe nipo njia panda
Haya mwayaa wenye tako zeeee karibuni wote kwa mwenzetuSasa kama napenda chura nisiwe muwazi??!![]()
Leta vigezo vyako.Niko single mpaka wakati usio na kipimo
Asilimia kubwa wanapendaga matunzo.Yaani nikanunue matako??!![]()
Wanapenda matunzo kisa wana tako?Asilimia kubwa wanapendaga matunzo.
mkuu una nini lkn mbna unapenda sana chura aisee yahn ww kila uzi wa mapenz unahitaji churaaa....mkuu una michezo ya amba nn????Mimi bila kupata chura kubwa heri nibakie single milele!![]()
Ndio kama huna basiii sijuiWanapenda matunzo kisa wana tako?
We acha tu sijui ananini.mkuu una nini lkn mbna unapenda sana chura aisee yahn ww kila uzi wa mapenz unahitaji churaaa....mkuu una michezo ya amba nn????