Wangapi wapo single humu?

Wangapi wapo single humu?

Mbona nahisi wadada hampo kupokea hii neema nyie masingle ladies .
 
Dah...
Mimi huwa nakuwa single wa dharura panapotokea uhitaji.
Mtoto mzuri akitokea anahitaji msaada kwenye tuta, huwa nakuwa single for the next three months.

Then narudi hali yangu ya kuwa coupled.

Watoto wazuri ninaowapendaga ni:
1)Wanaojua kudeka deka, mpaka najikuta nahonga bila kupenda.
2)Wenye matege ya mikono.
3)Wenye mwanya meno ya chini.
4)Mengine huwa navumulia tu.
Hahahaha fa....l weee nimecheka hiyo namba nne haki ni kuvumilia
 
Technically kila mtu yupo single.. Inategemea na mazingira aliyopo tu
 
Mi nasubilia hapa nimeambiwa mke mwema anatoka kwa bwana,sasa sijui ndo ww?
 
Back
Top Bottom