Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Accupied by Dadiiii??Singo kwa maana hujaolewa/ hujaoa au huko kwenye mahusiano kabisa!!??
Mie niko singo wa kutokuolewa ila kiuhalisia mahusiano am occupied.



Accupied by Dadiiii??Singo kwa maana hujaolewa/ hujaoa au huko kwenye mahusiano kabisa!!??
Mie niko singo wa kutokuolewa ila kiuhalisia mahusiano am occupied.



Accupied by Dadiiii??![]()
Weed = BangiSijaelewa
Dah haya ila hu uzi nimetoa ili masingle wakutane wapate wachumba single wasiwepo humu mimi nipo njia pandaWanawake mkiwa kitaa mnakuwa tofauti saana,na maisha mnayo ishi jamii forums..kitaa mnajifanya mko occupied tayari.lakini huku Jf mnalia Lia mara kwa mara kwa kukosa wanaume...badilikeni
Ndio kwa sababu wewe sio mme wa mtuhivi kama unakula makahaba na huna mke wala mpenzi nitakuwa nami single au?
Chalinzee
Jemani ndio wapi huko??Katoto kazuri we utakua unaishi mlandizi
Ndio mtafute mtapata kupitia huu uzi.Mkuu kuna offer inapatikana kwa sisi tulio single
Ndio mtafute mtapata kupitia huu uzi.
single kama mimiWewe unataka nini tena?
Mkuu kwa chura tu hujambo,wish uoe mwenye chura tu uridhikeMimi nipo single natafuta chura kama lote!![]()
Dah...
Mimi huwa nakuwa single wa dharura panapotokea uhitaji.
Mtoto mzuri akitokea anahitaji msaada kwenye tuta, huwa nakuwa single for the next three months.
Then narudi hali yangu ya kuwa coupled.
Watoto wazuri ninaowapendaga ni:
1)Wanaojua kudeka deka, mpaka najikuta nahonga bila kupenda.
2)Wenye matege ya mikono.
3)Wenye mwanya meno ya chini.
4)Mengine huwa navumulia tu.
Hahahaha dahMwenzako @ziroIQ anajitahidi kujinadi lkn unampotezea vibaya hvyo