Wangapi wapo single humu?

Wangapi wapo single humu?

Wanawake mkiwa kitaa mnakuwa tofauti saana,na maisha mnayo ishi jamii forums..kitaa mnajifanya mko occupied tayari.lakini huku Jf mnalia Lia mara kwa mara kwa kukosa wanaume...badilikeni
 
Wanawake mkiwa kitaa mnakuwa tofauti saana,na maisha mnayo ishi jamii forums..kitaa mnajifanya mko occupied tayari.lakini huku Jf mnalia Lia mara kwa mara kwa kukosa wanaume...badilikeni
Dah haya ila hu uzi nimetoa ili masingle wakutane wapate wachumba single wasiwepo humu mimi nipo njia panda
 
Wanaume Siku zote tu tuko single sisi
 
Dah...
Mimi huwa nakuwa single wa dharura panapotokea uhitaji.
Mtoto mzuri akitokea anahitaji msaada kwenye tuta, huwa nakuwa single for the next three months.

Then narudi hali yangu ya kuwa coupled.

Watoto wazuri ninaowapendaga ni:
1)Wanaojua kudeka deka, mpaka najikuta nahonga bila kupenda.
2)Wenye matege ya mikono.
3)Wenye mwanya meno ya chini.
4)Mengine huwa navumulia tu.

Baba!
 
Hahahaha asee
JF Jana na Leo kuna Mada chokozi sana

Single boy kama kawa

*mwenye mashairi ya wimbo wa single boy wa Jay Dee na Ali kiba atupie hapa*
 
Back
Top Bottom