Wangapi wangefanya kinyume na Klyn?

Wangapi wangefanya kinyume na Klyn?

Hapo kwa kifo unatusingizia jamanii!
Hivi wivu si ndo huzaa chuki jamani
Kuna comment za baadhi ya wanawake humu humu jf zinathibitisha hilo.


Wivu ukizidi sana sio mzuri, kila jambo kwa kiasi.


Wanaume wanaweza kuishi nyumba moja wasigombane na wakigombana wanakaa wanayamaliza, Wanawake ni vigumu sana
 
Kuna comment za baadhi ya wanawake humu humu jf zinathibitisha hilo.


Wivu ukizidi sana sio mzuri, kila jambo kwa kiasi.


Wanaume wanaweza kuishi nyumba moja wasigombane na wakigombana wanakaa wanayamaliza, Wanawake ni vigumu sana
Mtuombee
 
Huyu dada anashambuliwa sana kwa kuolewa na Marehemu Mengi, kwamba kafuata hela,golddigger etc. Sasa najiuliza hawa wanaomponda(wanawake) ni wangapi wangepata proposal ya kuolewa na late Mengi wangekataa? Ni wanawake gani hao Tz hii wangefanya kinyume na Klyn?
Mkuu na wewe nawe ni mfuasi wa chama letu Lile linalotoa boko Hadi kwa timu zilizoshuka daraja?nimeona Uzi kwenye avata hapo nikaona niulize!!maana hizi stori zenu zinavyopandana humu Hadi nimevurugwa si utani!Bora tu kujilipua Kama hivi maana Kuna sehemu hapa wamenichana kabisa wananifananisha na mfu eti sijaangalia videyo ya utamu ya mtumishi!nambie Kama na wewe ni mwanachama wa chama la wana ingawa tunatoa Sana maboko zis taimu araundi.
Sorry kwa mtibuo,haya ni matokeo ya kuvurugwa kuanzia kule kwenye chama letu Hadi huku kwenye mastori ya bongoland!
 
Mkuu na wewe nawe ni mfuasi wa chama letu Lile linalotoa boko Hadi kwa timu zilizoshuka daraja?nimeona Uzi kwenye avata hapo nikaona niulize!!maana hizi stori zenu zinavyopandana humu Hadi nimevurugwa si utani!Bora tu kujilipua Kama hivi maana Kuna sehemu hapa wamenichana kabisa wananifananisha na mfu eti sijaangalia videyo ya utamu ya mtumishi!nambie Kama na wewe ni mwanachama wa chama la wana ingawa tunatoa Sana maboko zis taimu araundi.
Sorry kwa mtibuo,haya ni matokeo ya kuvurugwa kuanzia kule kwenye chama letu Hadi huku kwenye mastori ya bongoland!
Im number one Man Utd fan. GGMU
 
Hahaha nafikiri namkumbuka, she sounded so bitter. Hivi Mengi hakuona wazee wenzie akamfuata Jacky? Ndo wale wale wanaolaani ooh kwa nini mama Mercy hakutambulishwa msibani kama ni 1st wife wa mzee, khaaa kisa ni Mengi au?
Inastaajabisha sana ujuwe, mzee kaona wanawake kibao tena wengine watu wazima kabisa lakini kaamua kuwa na Jackie, na kuna sehemu nasikia alisema Jackie was the best thing that happened to him, na anatamani wakutane tena katika maisha mengine.

Who are we to judge, na kwa nini huyo dada aonekane yeye ndio mbaya..

Hakuna mtu asiyependa maisha mazuri jamani, eti sisy darling
 
Back
Top Bottom