Wangapi wangefanya kinyume na Klyn?

Wangapi wangefanya kinyume na Klyn?

Hivi wakati mengi anamchukua na kufunga naye kinachosadikika ni ndoa nje ya nchi...Je!! ile ndoa ya awali aliyokuwa amafunga kwa taratibu za kikristu ambayo ni ndoa ya mke mmoja na mme mmoja isiyotenguliwa hadi kifo, je ndoa hiyo ilitenguliwa na nani wkati mke halali wa mengi alikuwa bado hai?
Ndoa ya kikristo inatenguliwa lakini kwa utaratibu maalum.

Huwezi kujua labda ndoa yake ya awali ilitenguliwa.
 
Ukishakuwa nijulishe tafadhali, sitajali mambo mengine nitakuwa mvumilivu
Kuhusu hayo mengine, wala "sitakuangusha" kwa sababu hatutasubiri hadi nifike 70, hapo 45 tu nitakuwa na ukwasi wa kukutosha kabisa...
 
Inahitaji moyo kuishi na kibabu .
Acha uongo wangine wangetamani hata nafasi ya kupeana naye mkono sembuse kuolewa naye, jamani tuache unafiki hizi nafasi ni za wachache hakuna mwanamke bongo hii angekataa kuolewa na mengi
 
Acha uongo wangine wangetamani hata nafasi ya kupeana naye mkono sembuse kuolewa naye, jamani tuache unafiki hizi nafasi ni za wachache hakuna mwanamke bongo hii angekataa kuolewa na mengi
Wee na nae sio kila MTU anawaza uwazavyo wewe.
 
Back
Top Bottom