Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Sawa dadaSawa dada
Ningekubali kumuogesha na maji ya moto mzee kama yeye![]()
Sawa dadaSawa dada
Ningekubali kumuogesha na maji ya moto mzee kama yeye![]()
Technically umenijibu kuwa wengi wangekubali wangepata hio nafasi.Hakuna anaepibga kuolewa kwake ila ni care aliyompa mzee na haya yanayosemwa ndiyo huleta ukakasi.
Bruce Forsyth alimuoa miss Puerto Rica alikua 25 yrs her senior age wise. Lakini ali mtunza mzee mpaka alipoaga dunia akiwa na 89. Wala hakuna anaemuita yule dada gold digger.
Katika maoenzi age is just a number.
talaka. Ya mahakamaniNdoa ya kikristo hainaga talaka....
Kwenye maisha ya msichana akifika 25 awe amemaliza chuo ana first degree, hapa hata akiolewa na muuza karanga maisha yatakenda.Technically umenijibu kuwa wengi wangekubali wangepata hio nafasi.
Oh ok, hii ni kanuni ya ngapi ya maisha?Kwenye maisha ya msichana akifika 25 awe amemaliza chuo ana first degree, hapa hata akiolewa na Muzak karanga maisha yatakenda.
Kama ali bugi steps hakufika huko kuna life lines, life line mojawapo ni kumpata rich man.
Safi sana sisy darling, sina hata la kuongeza.We marry for different reasons. Wengine tunaolewa kwa sababu tunaamini bila ndoa hatujakamilika, wengine umri umeenda, wengine tunatafuta financial security, wengine wamependana etc. As long as waoanaji wameridhiana, who are we to judge? Mama twins aliyempendea Mzee hela, nani aliyempendea mumewe umaskini?
Afu dunia hii kuna mwanamke gani ambaye angeolewa na Mengi (apart from his 1st wife) na isionekane kafuata hela? Mama twins ana bahati, alipendwa na mzee and he respected, appreciated and honored her. Vitu ambayo pengine hata hawa wanaume zetu tuliowapendea umaskini wao can't offer us. Mzee ameishi maisha yake na mama twins na ameyaenjoy; kazi kwetu tuliobaki.
Afu wengine tuna guts za kumuita mama twins gold digger kisa mzee alikuwa na ukwasi; tunajisahaulisha wengine tulivyoenda kwa bae siku ya kwanza na kukuta ana sub woofer, friji na tv, tukaona maisha ndo haya. Baada ya siku kadhaa tukahamishia kabisa na mizigo yetu na kubeba na mimba juu teh; ndoa itakujaga Wengine nyumbani maisha magumu so unahamia kwa mwanaume ili upunguze ukali wa maisha; what should we call that? Tusihukumu
Back to your question; naamini wapo wanawake ambao despite ukwasi wa Mzee; bado wangekataa kuolewa naye kwa sababu zenye mashiko kwao. We are diverse
Hahaha nafikiri namkumbuka, she sounded so bitter. Hivi Mengi hakuona wazee wenzie akamfuata Jacky? Ndo wale wale wanaolaani ooh kwa nini mama Mercy hakutambulishwa msibani kama ni 1st wife wa mzee, khaaa kisa ni Mengi au?Kuna dada mmoja kwenye uzi wa mama Mercy kufariki alimponda sana Jackie utadhani yeye asingekubali kuolewa na Mengi. Hata hivyo, huyo Jackie ni wapi alikosea, si mzee alimtaka na kumuoa?
Generally binadamu tuna wivu sana.
Mimi nashangaa sana huyu dada anavyopondwa.Kuna dada mmoja kwenye uzi wa mama Mercy kufariki alimponda sana Jackie utadhani yeye asingekubali kuolewa na Mengi. Hata hivyo, huyo Jackie ni wapi alikosea, si mzee alimtaka na kumuoa?
Generally binadamu tuna wivu sana.
ha ha ha jamaniWanawake ni jamii ya watu wanaochukiana sana wao kwa wao ndugu, huwa wanaoneana wivu hata wanapoona mwenzao kaenda msalani watalazimika na wao waende hata kama hawajabanwa na haja ili waonekane wapo levo moja
Yeah kwa JF nawaelewa, hamna hata mmoja angeolewa kwa pesa. You are all very perfect decent ladies.mleta mada Heaven Sent amejibu kwa niamba ya wanawake humu ndani.
Napenda wanawake kama wewe,wanaojielewa!! Tupo wachache sana...We unahisi kila mwanamke yupo tayari kuolewa na mzee hata kama ana mahela? Lol
Wengine tulikuwa tunamshangaa alivyo na utayari na roho ngumu, mnahisi eti uwivu.
✋Nataka nijue mwanamke ambae angepewa proposal kama ya Klyn na kukataa.
Inahitaji moyo kuishi na kibabu .Kuna dada mmoja kwenye uzi wa mama Mercy kufariki alimponda sana Jackie utadhani yeye asingekubali kuolewa na Mengi. Hata hivyo, huyo Jackie ni wapi alikosea, si mzee alimtaka na kumuoa?
Generally binadamu tuna wivu sana.