Kukubalije kuolewa na mzee kama mengi auWewe ungekubali dada
Ni kweli kabisaaa, hamna mwenye sababu yoyote ya msingi! Ni wivu tuu unatusumbua!Hata mimi nilichokuwa nakiona kama chuki tu. Wengi wanatamani ile lifestyle
Mimi napenda maisha mazuri! Ila kwa Mzee Mengi HAPANA!Wewe je?
Na mjadala wa mali umeegamia kwenye kutamani Klyn asipate kitu!A million question. Na ukitaka kujua wasingekataa wasome wote wanajadili mgao wa mali. Means hiyo ndiyo aim yao kubwa kuhusu ndoa kwa Mtu aina ya Mengi!! Kwa hiyo jibu lipo wazi kabisa.
Ndiwooo...Kukubalije kuolewa na mzee kama mengi au
Ningekubali kwakweli acha niwe mama mdogo tu hakuna anayependa maisha ya shidaNdiwooo...
Wewe uwe mamake Regina mdogo!
Hahaha hahaha hahahaHa ha ha nimekuelewa kiutuzima.
Sawa dada!Ningekubali kwakweli acha niwe mama mdogo tu hakuna anayependa maisha ya shida
Sawa dadaSawa dada!
Mimi pia napenda sana maisha mazuri sana jamanii ila kwa Mzee Mengi HAPANA dada!

Anayekataa labda sababu ya uzee kuhusu mambo ya kiutu uzimaSasa anaekataa anasababu gani ya kimsingi? Age aint nothing but a number
Hahaha hahaha hahahaaisee, si nimesema nimekuelewa kiutuzima...