Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,880
- 7,022
ya nn hayo maisha hakuna hata chupa ya bia ata wine aiseee!?

ya nn hayo maisha hakuna hata chupa ya bia ata wine aiseee!?

hanikomoi Mimi talaka itamuhusu na ky jelly itatembea kwa mngoni wangu wahuni wa kukodi wapo kibao wa kufanya unyama
hiyo yaanii memsap
Hahahahaaaaaa nimecheka hatari
ndio hivyo....Hahahahaaaaaa nimecheka hatari
Wengi wanatamani kufanyiwa hivyo...ila wanakosa watu wa kuwafanyia hivyo
Kwa nini mkuuHiyo tuwaachie wenyewe watu weupe wanaojua mapenzi sis hatupaswi hata kuiga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha sio movie mdogo wanguKwa nini mkuu
Aisee sitaki mume asiye naadabu hivi unamtoto halafu unavaa mlegezo ,itakuwa na bangi anavuta .Wangapi wanayapenda haya maisha?
View attachment 1371998
ha ha haAisee sitaki mume asiye naadabu hivi unamtoto halafu unavaa mlegezo ,itakuwa na bangi anavuta .
Chai hii ni pasua kichwa .
Mume lazima ajiheshimu .
Avae mavazi ya kujenga sio kubomoa kama hayo vaa jinsi kiunoni.
Na uvae fulana sio ukae kihasara kama mjenzi
ha ha ha haHuyo mwanaume anaonekana yuko hot, humble, co sex, n romantic.![]()
Kiruuuuuuuuuuuuuuuuh lolha ha ha ha
ha ha haAisee sitaki mume asiye naadabu hivi unamtoto halafu unavaa mlegezo ,itakuwa na bangi anavuta .
Chai hii ni pasua kichwa .
Mume lazima ajiheshimu .
Avae mavazi ya kujenga sio kubomoa kama hayo vaa jinsi kiunoni.
Na uvae fulana sio ukae kihasara kama mjenzi