Maisha yapi?Wangapi wanayapenda haya maisha?
View attachment 1371998
Maisha yapi?Wangapi wanayapenda haya maisha?
View attachment 1371998
Maisha ya kushinda jikon kumsumbua wife dah ila ilo ni limbwata
Sent using Tecno Amber rutty k6
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume haitakiwi kushinda nyumbani, inatakiwa kurudi jioni. Na ikiwezekana kila mwezi uwe unasafiri safari za mbali.
Wote.
Ishike sana elimu mapema, ndio utayafaid hayo maisha.
Maisha yapi?
Nakuona uko jikoni,unamlegezea mume....


ndoa zetu hizi za kiafrika zina watu wengi hamuwezi kufanya hivi, hii inatakiwa muwe na familia changa yaani mko wenyewe tu au na katoto kadogo
Nakuona uko jikoni,unamlegezea mume....
Pesa muhimuKila mtu anapenda maisha ya furaha kama hayo.
NGOJA NITAFUTE PESA KWANZA.
Sent using Jamii Forums mobile app
weekend mwanaume anatakiwa awe kijiwen na marafiki abadilishane nao mawazo