Marahaba hulali au ulikuwa barabarani?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
shikamooo dada
Mhu!!!!!???????Ndio nilikuwa narudi
Hivi wewe Alan Quaterman hulali au ndo umetoka kwenye ungo?
Hivi Agon alikuwa kwenye hiki kitabu au ni kile cha Mashimo ya Mfalme Suleiman?Nawakumbuka wale Malkia mapacha>>>>Sorais na Nyleptha
BrooLegendary wa kizulu alikuwa noma sana story zake ni tamu ila zinatisha na zimejaa ukatili