only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
yani hili baraza liko weak sana,hivi huyu machemli angeweza kweli bomoabomoa kama ya magufuli! jamani tuache ushabiki hili baraza lisingetufikisha popote yani hapo naona vichwa viwili tuu au nchi ingeongozwa na kina sabodo au maaumuzi magumu kutoka kwa pengo au vatican
Acha udini wewe..........huo ni ukosefu wa fikra na ujinga.........