Wanaweza???

Wanaweza???

Mh!.. Unaamini mtu yoyote anaweza kuwa Raisi!?...
Kwa simple minded haamini hivyo, anaamini kuwa awezaye kuwa rais ni mtu wa kufikirika pekee. Learn on me, "rais aweza kuwa mtu yoyote, kwani rais ni mtu kutoka kwa watu, aliyepo kwa sababu ya watu. Hivyo yoyote kati ya hao watu ambaye ni mtu yoyote aweza kuwa rais". Kinyume chake ni kwamba rais hawezi kuwa mtu yoyote!!!!! Kama ni kinyume chake basi rais asiye mtu yoyote kati ya watu wake ni nani huyo? Labda jiulize swali jepesi mno, hao watu waliopata kuwa marais, walizaliwa marais? Miaka 20 nyuma mliota kutakuwa na rais aitwaye JMK? Baada ya nchi kupata uhuruiliwahi kuotwa kwamba mwaka 1995 Ben Bill Mkapa angekuwa ndiye rais wa 3?
Kifupi hata mimi naweza kuwa rais panapo majaliwa.
 
Hata Chadema sasa itabidi wawe very clear, its not true kwamba wao wakiingia madakani watatekeleza sera zao, ama wataondoa kero zilizopo namna gani, watoe na realistic timelines, au la waliweke hili nalo liwe mjadala wa UMMA watu wachingine the best kusort out this mess up.

Kwa mfano, sitaki kusikia uongo kwamba wao wataondoa kabisa Ufisadi, na wananchi wajue kwamba ufisadi hauwezi kutokomea kabisa, unaweza kuzimia tu lakini baadaye unaweza kuamka na nguvu zaidi, kwa hiyo watuelekze wanamikakati gani ya kuhakikisha kwamba watakabiliana na life cycle ya ufisadi sustainably wasije kuwa kama CCM, wakiondoka wakina SLAA, MBOWE wakachipuka watu wa Ajabu kabisa.

Hii hoja ni ya msingi sana, na kwa sababu Chadema ndio the leading Political Party chances kwamba wanaweza kupata fursa ya kuongoza nchi yetu ni kubwa. tuna haki ya kujihakikishia kwamba uwezo wao wa kiorganization ni dhabiti. Watanzania tusifanye makosa ya kumuamini mtu mmoja pekee, tujifunze kutokana na kifo cha CCM, out past beloved mother. We need a strong organization.

Hawa watu wanajadirika sababu ndio team iliyopo.

ZITTO kishaanza kuonyesha kwamba angekuwa wrong candidate

Mkuu naona umeshindwa kuficha uwoga wako, kiboko yenu huyo nyie subirini tu. Mnampaka matope wee lakini mwisho wenu utafika tu
 
Back
Top Bottom