Mshana:
Kesho ipo haiwezi kufa THE SHADOW ONE [emoji1545]Mshana:
Hili ni darasa la wote, kesho haiwezi kufa!
Umeweka vema sana mkuu Mshana.Kesho ipo haiwezi kufa THE SHADOW ONE [emoji1545]
Ruge ni mtoto wa Kusaga?Braza kaka picha haifunguki.
Kuna kitu kinamtesa sana Josee Kusaga juu ya kifo cha mwanae Ruge. Ipo siku wananchi mtakifahamu tu ila Jana Sio Leo na Leo sio Kesho.
Kuwa na Staha kwenye Maisha yako.
Mh [emoji848]Braza kaka picha haifunguki.
Kuna kitu kinamtesa sana Josee Kusaga juu ya kifo cha mwanae Ruge. Ipo siku wananchi mtakifahamu tu ila Jana Sio Leo na Leo sio Kesho.
Kuwa na Staha kwenye Maisha yako.
Fikiri kwa uyakinifu, utanielewa. Iko hivi, sii kila kitakachoongelewa katika mazingira tata kitatumia lugha rasmi.Ruge ni mtoto wa Kusaga?