Kwahiyo tuwaombee vifo vyema?Kuna sauti zinawaandama
Sasa kwani anashindwa nini kuhama nchi au anahisi watatega bomu kwenye ndege?
Hofu...! Mashaka..! Woga...!
Kutubu hadharani kwa dhati ya moyo na kuomba suluhu na wahanga hata kama wengine hawapo tena! Atafute maridhiano ili amani yake irudi na awe na mwisho mwema! Swali muhimu je yuko tayari kujishusha na kufanya hayo?Mkuu wewe kwa mfano unaweza kumshauri nini bwana makonda ambavo anajua aliharibu na ni muda wake wa kulipwa alichoharibu mana jamaa kwa ule ujumbe kule IG aisee dhahiri jamaa anaona kuwa kama sabaya soon akijaa tu kwene mfumo wa watalaam
Kutubu hadharani kwa dhati ya moyo na kuomba suluhu na wahanga hata kama wengine hawapo tena! Atafute maridhiano ili amani yake irudi na awe na mwisho mwema! Swali muhimu je yuko tayari kujishusha na kufanya hayo?
Huwa napuuzia watu hususani kama naona ugomvi ni wa kijinga ila kama mtu anaenda extra miles kuniharibia, huwa nampa ushindi anaoutaka maana naamini ukiziba A nitapata B na nikishapata, utadeal na concious mind yako mwenyeweNi jambo muhimu sana hilo, ingawa bado dunia ni tambara bovu sababu kuna Mawatu hutafuta Watu hata kama huna ubaya nayo.
Kikubwa sana ni kuendelea kupalilia salio la uhai kwa mwenye pumzi akulinde kwa kila balaa.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Hii wataalam wa peace keeping and reconciliation tunaita Truth telling.......Aseme tu ukweli wa yote mabaya aliyoyatenda,na aombe msamaha kwa familia za wahanga.Kutubu hadharani kwa dhati ya moyo na kuomba suluhu na wahanga hata kama wengine hawapo tena! Atafute maridhiano ili amani yake irudi na awe na mwisho mwema! Swali muhimu je yuko tayari kujishusha na kufanya hayo?
Hawezi kushindana na Serikali ata kama inaongozwa na mwanamkeWanasikilizia maana kuna mahali aliwahi kusema WASITHUBUTU maaana naye atafichua mengi