Wanawake zamani VS. Wanawake Sasa

Wanawake zamani VS. Wanawake Sasa

Wasiwasi Wako Tu..."Ishi Nyakati,,,Heshimu Nyakati,,,,Jali Nyakati....Live The Life You Love"
Unahisi ulimwengu namna ulivyo ukuta ulijitengeneza tu wenyewe, kwamba hakukuwa na watu kabla yako waliotuliza vichwa na kutengeneza misingi ya mienendo ya tabia ili wewe ulipozaliwa ukute mazingira mazuri ya kuishi kwenye jamii?🤔
 
Sina haja ya kusema uongo mkuu. Sipati faida yyt. Siwezi kuweka picha hapa ya mzazi wangu au wazee mana wengine washatangulia mbele ya haki. Binafsi nlikuwa namuuliza mama mbona sisi mnatulazimisha kuvaa hijab na kujistiri lkn nyinyi mlikuwa mnavaa hivi..at that time nafkiri dini ilikuwa haijaenea sijui tuseme au utawala wa wazungu ulikuwa bado umeacha athar.
Naizungumzia Zanzibar mkuu
Wahuni walikuwapo hata miaka ya zamani ila uhuni haukuwa jambo la kawaida. Walikuwa wanatoroka majumbani usiku na wazazi wao walikuwa ni strict na wakali sana. Wanakwenda disco,then wanapiga picha kisha wanarudi kabla hakujapambazuka. Wazaz hawajui kitu.

Leo anakukataza sababu anaelewa baba yake alivyokuwa anamkataza alikuwa anamtakia mema kwenye maisha yake.
 
Mimi huwa siangalii ni wangapi wananisema kuhusu tabia fulani huwa naangalia kama wanachosema ni kweli, what if hao wanaosema kama wewe nao ni wale wale tu wanafanya hivyo kwa sababu wameshindwa hoja, mimi kama tabia ninayo huwa nakubali kwamba ninayo hata nikiambiwa na mtu mmoja tu au hata nisipoambiwa kabisa ila kama sina hata niambiwe na dunia nzima siwezi kukubali
So unataka uambiwe na mtu unaemtaka wewe? Yaani unataka kunambia ni coincidentally inatokea mimi nafikiria kitu na watu wengine zaidi ya mara 20 kwenye comment wanakwambia wewe the same exactly attitude unawaonyesha halafu useme hicho kitu hauna?

Hii tabia unayo utake ama usitake. Nitakupa mfano hapa. Ni sawa tuwe tutaongelea gari ya mjerumani kama VW then wewe kwasababu una miliki VW unakuja nakusema kwani VW ndio mbovu pekee yake mbona BMW zinashida hii na hii. Sasa swali linakuja , kwani hapa tunajadili faults za BMW au za VW? Yaani unakuja na mada yako tofauti na iliyopo mezani ili kudeflect au kuharibu mjadala kwasababu unaona upande unaoshambuliwa wewe unakugusa kwa namna moja ama nyingine.

Sasa intellectuals na watu smart huwa hawapo hivyo, mtu smart na intellectual anapowekewa mada mezani hata kama inamhusu yeye ataichangia kwa namna ya kujenga akijua kwamba hili jambo ni tatizo.

Sasa wewe hadi hapa unatuonyesha kuwa hauna tatizo na wanawake wanaobehave tofauti kiasi kwamba ina athiri jamii na ustawi wake ila unachojali ni hisia zako zisiumie sababu wanawake wanasemwa na wewe unajihisi na kujiona ndio self appointed advocate wao jambo ambalo ni la hovyo na halina maana. You got issues and you need to address them immediately before time passes out on you.
Huko kwenye uhalisia tunaona wanawake wenye tabia za ajabu walioshindikana wanaolewa na wanaume wa maana tu sembuse mimi, ifikie pahala mkubali kwamba si kila mwanamke aliyekosa amekosa mwanaume wengine hawataki tu kuolewa na ndio hao wanaowaumiza vichwa kila siku na kuwafanya muanzishe minyuzi yote hii, after all hakuna mwanamke asiyetongozwa mimi binafsi mpaka naona kero yani na hata ningekuwa sitongozwi wala nisingewaza tena ndio kwanza ningeshukuru mnachotakiwa kujua si kila mwanaume ana mitazamo ya kipumbavu kama ya baadhi yenu
Mimi nipo hapa. Ukipata mwanaume wa maana mkaishi kama mume na mke miaka 5 kwa amani njoo nitakulipia full tank ya mafuta ya gari miaka 5 gari yoyote utakayotumia kummmke kama unajiamini wewe upo vema hivyo.😂😂😂😂 Takataka kabisa.

Eti wanawake wenye tabia za ajabu wanaolewa,hivi unadhani wanaume ni mafala kama unavyowawazia kwenye hilo komwe lako la kifeminist. NGOJA MUDA WAKO UFIKE UTAJUA WANAUME NI AKINA NANI🤣🤣🤣

Wanaume ni kama wajumbe wakati wa kura za maoni hawacheki na nyani. Utachezea virungu vya utosi hauta amini.

Wewe labda umrubuni mwanaume na huyo mwanaume awe SIMP nae bado hatakuweza kama hatopita na rafiki zako basi atakuwa na kazi ya kando na hapo ndipo utakuwa single mother for life. Wewe ni single mother ajae mimi nikisoma tu hoja zako naisikia attitude yako inaongea kwa sauti kuliko spika ya msikiti. You just don't get it ,haujaandaliwa kuwa mwanamke ndio maana kila siku unaforce kuonenaka mwanaume kitabia. Hii ni 🚩🚩🚩🚩 kwa mwanaume yoyote. Utaambulia zaidi ni mimba na ndoa ya mkataba ila hautaweza kumvutia mwanaume hata ujaroge wapo, ITS NOT IN YOU,YOU ARE NOT FEMININE YOU ARE MASCULINE.

Wanaume kutongoza ni kama mbwa kubweka au jogoo kuwika,ni kawaida. Kwenye kutongozwa utamzidi wema sepetu wewe,ila si unaona alipo?

Unahisi kutongozwa ndio kupendwa?🤔 Hawa masingle mother unadhani hawakutongozwa? Kutongozwa ni kawaida sana. Sisi wanaume ndio tunatakiwa kujivunia kutongozwa na wanawake sababu sio kawaida it means nina maajabu.

Ila wewe mwanamke kujivunia kutongozwa ni ishara kuwa upo very slow kuelewa game ya mahusiano. Wanaume wanatongoza hata mke wa mtu mwenye ujauzito na watoto watatu, wanatongoza mwanamke wa miaka 50. Maisha yako yote kila unapokwenda utatongozwa hadi uzeeni wazee watakutongoza,sio ajabu. Ila kupata wa kutaka kukuchukua wewe kama mke hapo ndio shughuli unayo.

Kama unabisha hapa tuweke dau. Mimi nakwambia ukiendelea hivi, 30 hiyo hapo inakaribia,hautoboi wewe. Na utakuwa single mother ndio maana upo very defensive na topic za masingle mother kwasababu unajua soon unalekea huko au pengine unaweza kuwa tayari ushaingia humo.

anyways, turudi kwenye mada.
 
Mimi huwa siangalii ni wangapi wananisema kuhusu tabia fulani huwa naangalia kama wanachosema ni kweli, what if hao wanaosema kama wewe nao ni wale wale tu wanafanya hivyo kwa sababu wameshindwa hoja, mimi kama tabia ninayo huwa nakubali kwamba ninayo hata nikiambiwa na mtu mmoja tu au hata nisipoambiwa kabisa ila kama sina hata niambiwe na dunia nzima siwezi kukubali
So unataka uambiwe na mtu unaemtaka wewe? Yaani unataka kunambia ni coincidentally inatokea mimi nafikiria kitu na watu wengine zaidi ya mara 20 kwenye comment wanakwambia wewe the same exactly attitude unawaonyesha halafu useme hicho kitu hauna?

Hii tabia unayo utake ama usitake. Nitakupa mfano hapa. Ni sawa tuwe tutaongelea gari ya mjerumani kama VW then wewe kwasababu una miliki VW unakuja nakusema kwani VW ndio mbovu pekee yake mbona BMW zinashida hii na hii. Sasa swali linakuja , kwani hapa tunajadili faults za BMW au za VW? Yaani unakuja na mada yako tofauti na iliyopo mezani ili kudeflect au kuharibu mjadala kwasababu unaona upande unaoshambuliwa wewe unakugusa kwa namna moja ama nyingine.

Sasa intellectuals na watu smart huwa hawapo hivyo, mtu smart na intellectual anapowekewa mada mezani hata kama inamhusu yeye ataichangia kwa namna ya kujenga akijua kwamba hili jambo ni tatizo.

Sasa wewe hadi hapa unatuonyesha kuwa hauna tatizo na wanawake wanaobehave tofauti kiasi kwamba ina athiri jamii na ustawi wake ila unachojali ni hisia zako zisiumie sababu wanawake wanasemwa na wewe unajihisi na kujiona ndio self appointed advocate wao jambo ambalo ni la hovyo na halina maana. You got issues and you need to address them immediately before time passes out on you.
Huko kwenye uhalisia tunaona wanawake wenye tabia za ajabu walioshindikana wanaolewa na wanaume wa maana tu sembuse mimi, ifikie pahala mkubali kwamba si kila mwanamke aliyekosa amekosa mwanaume wengine hawataki tu kuolewa na ndio hao wanaowaumiza vichwa kila siku na kuwafanya muanzishe minyuzi yote hii, after all hakuna mwanamke asiyetongozwa mimi binafsi mpaka naona kero yani na hata ningekuwa sitongozwi wala nisingewaza tena ndio kwanza ningeshukuru mnachotakiwa kujua si kila mwanaume ana mitazamo ya kipumbavu kama ya baadhi yenu
Mimi nipo hapa. Ukipata mwanaume wa maana mkaishi kama mume na mke miaka 5 kwa amani njoo nitakulipia full tank ya mafuta ya gari miaka 5 gari yoyote utakayotumia kummmke kama unajiamini wewe upo vema hivyo.😂😂😂😂 Takataka kabisa.

Eti wanawake wenye tabia za ajabu wanaolewa,hivi unadhani wanaume ni mafala kama unavyowawazia kwenye hilo komwe lako la kifeminist. NGOJA MUDA WAKO UFIKE UTAJUA WANAUME NI AKINA NANI🤣🤣🤣

Wanaume ni kama wajumbe wakati wa kura za maoni hawacheki na nyani. Utachezea virungu vya utosi hauta amini.

Wewe labda umrubuni mwanaume na huyo mwanaume awe SIMP nae bado hatakuweza kama hatopita na rafiki zako basi atakuwa na kazi ya kando na hapo ndipo utakuwa single mother for life. Wewe ni single mother ajae mimi nikisoma tu hoja zako naisikia attitude yako inaongea kwa sauti kuliko spika ya msikiti. You just don't get it ,haujaandaliwa kuwa mwanamke ndio maana kila siku unaforce kuonenaka mwanaume kitabia. Hii ni 🚩🚩🚩🚩 kwa mwanaume yoyote. Utaambulia zaidi ni mimba na ndoa ya mkataba ila hautaweza kumvutia mwanaume hata ujaroge wapo, ITS NOT IN YOU,YOU ARE NOT FEMININE YOU ARE MASCULINE.

Wanaume kutongoza ni kama mbwa kubweka au jogoo kuwika,ni kawaida. Kwenye kutongozwa utamzidi wema sepetu wewe,ila si unaona alipo?

Unahisi kutongozwa ndio kupendwa?🤔 Hawa masingle mother unadhani hawakutongozwa? Kutongozwa ni kawaida sana. Sisi wanaume ndio tunatakiwa kujivunia kutongozwa na wanawake sababu sio kawaida it means nina maajabu.

Ila wewe mwanamke kujivunia kutongozwa ni ishara kuwa upo very slow kuelewa game ya mahusiano. Wanaume wanatongoza hata mke wa mtu mwenye ujauzito na watoto watatu, wanatongoza mwanamke wa miaka 50. Maisha yako yote kila unapokwenda utatongozwa hadi uzeeni wazee watakutongoza,sio ajabu. Ila kupata wa kutaka kukuchukua wewe kama mke hapo ndio shughuli unayo.

Kama unabisha hapa tuweke dau. Mimi nakwambia ukiendelea hivi, 30 hiyo hapo inakaribia,hautoboi wewe. Na utakuwa single mother ndio maana upo very defensive na topic za masingle mother kwasababu unajua soon unalekea huko au pengine unaweza kuwa tayari ushaingia humo.

anyways, turudi kwenye mada.
 
Huyo jadda hutoweza bishana nae, nahisi jadda anaweza kubishana hata na radio Zemanda
Anakwambia yeye yupo on point wakati ukisoma magazeti yake unakuta kuna topic mpya 50 kazileta ambazo hazihusiani na mada original. Lengo ni akutoe kwenye mfumo yeye aonekane ana hoja za msingi na ana majibu ya kila kitu.
 
Kwani kuoa na kuolewa ni lazima? Ndipo unapo feli wee Z, unaweza kuwa na hoja, ila inafika tyme unapoteza focus. Afu ukiambiwa unajifanya mjuaji.

Hebu waza upya hizo fikra zako.
Sijajua ibada zako unafanya wapi ila nina uhakika hiki kitabu ndio muongozo wako wa kiimani. Sisi wa Bible huwa tunaamini katika holly Union or holly matrimony kati ya mwanaume (baba) na mwanamke (mama) kujenga mahusiano.

Whatever ulichofundishwa kwenye uhuni wako huko kuwa unaweza kukulana hovyo kila shimo, sijui kulala na watu hovyo kama mbwa hiyo sio namna halisi ya dunia.

Ndio ni jambo la lazima labda kama umechagua kuwa Padre,Nun au Monk,nje ya hapo ukiona hamu zako zinakushinda nguvu wewe ni utake usitake,kuoa au kuolewa ni LAZIMA.
 

Attachments

  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    9.4 KB · Views: 12
Wanawake wengi hasa waliokuwa wa mjini au wana màisha fulani mavazi yao wengi wamevaa hivyo vimini,

Mimi picha zipo kwa albamu kabisa, wala sio uwongo, Ila rate ya wale wa vijijini ndo walijifunika sana tofauti na wa mjini
Walikuwa ni show off ila unataka kunambia ilikuwa ni kawaida kama sasa mwanamke anatoka ndani kavaa chupi na fulana inafika magotini au kavaa dela bila chupi.
 
Unahisi ulimwengu namna ulivyo ukuta ulijitengeneza tu wenyewe, kwamba hakukuwa na watu kabla yako waliotuliza vichwa na kutengeneza misingi ya mienendo ya tabia ili wewe ulipozaliwa ukute mazingira mazuri ya kuishi kwenye jamii?🤔
Wasiwasi Wako Tu....
 
Walikuwa ni show off ila unataka kunambia ilikuwa ni kawaida kama sasa mwanamke anatoka ndani kavaa chupi na fulana inafika magotini au kavaa dela bila chupi.
Ni tofaut na sasa, Ila bado matokeo ya kizazi Cha leo chanzo ni kizazi kilichopita
 
Jadda me nikwambie tu jambo moja, mimi huwa siandiki nyuzi zangu hapa kushambulia wanawake ama kuwakandamiza. Mimi ndie yule mtetezi wao ambaye hawamuhitaji.

Hata yule mwalimu anayekuchapa sana kwa utoro na uzembe darasani utakuja kumuelewa siku ukipewa zawadi ya ufaulu na mbeleni ukija kufanikiwa kimaisha.

Same kwa hawa wanawake pamoja na wewe mnaosoma na kuona mnakuwa attacked,ipo siku mtazisoma hizi nyuzi zangu na kusema huyu mwamba alikuwa anatupa sana nondo ila viburi sasa ndivyo vilituzidi nguvu.

Sasa wewe endelea kuleta pozi na fujo zako za kifeminist ila napenda ujifunze kwenye nyuzi zangu na ubadilike na kuwa balozi wa uanamke.
 
Ni tofaut na sasa, Ila bado matokeo ya kizazi Cha leo chanzo ni kizazi kilichopita
True, mzazi aliyekuwa anaruka fensi enzi za ujana na usichana wake kwenda Disco then akijakuwa baba au mama hatostuka kumuona binti yake anaenda club usiku wa manane.
 
So unataka uambiwe na mtu unaemtaka wewe? Yaani unataka kunambia ni coincidentally inatokea mimi nafikiria kitu na watu wengine zaidi ya mara 20 kwenye comment wanakwambia wewe the same exactly attitude unawaonyesha halafu useme hicho kitu hauna?
Hivi unajua hata kusoma kwa ufahamu ni wapi nimesema nataka niambiwe na mtu ninayemtaka mimi hivi huwa unafikiria kwa kutumia madako au, ninaikataa hiyo tabia kwa sababu wote mnaoniambia ninayo ni wanaume wa humu jf tu tena ni wale ambao huwa tunakutana kwenye mada kama hizi na wengi huniambia hivyo baada ya kuona wameshindwa kujibu hoja, kuna wanaume wengi tu humu wanaojielewa huwa wanaunga mkono hoja zangu na wengine nafahamiana nao nje ya jf na huwa wananiambia mapungufu yangu ila hawajawahi kuniambia huu ujinga so kipi kinachofanya ninyi wapumbavu wachache wenye chuki zenu binafsi ndio muwe wakweli kuliko hao wanaume wengine wote
Hii tabia unayo utake ama usitake. Nitakupa mfano hapa. Ni sawa tuwe tutaongelea gari ya mjerumani kama VW then wewe kwasababu una miliki VW unakuja nakusema kwani VW ndio mbovu pekee yake mbona BMW zinashida hii na hii. Sasa swali linakuja , kwani hapa tunajadili faults za BMW au za VW? Yaani unakuja na mada yako tofauti na iliyopo mezani ili kudeflect au kuharibu mjadala kwasababu unaona upande unaoshambuliwa wewe unakugusa kwa namna moja ama nyingine.

Sasa intellectuals na watu smart huwa hawapo hivyo, mtu smart na intellectual anapowekewa mada mezani hata kama inamhusu yeye ataichangia kwa namna ya kujenga akijua kwamba hili jambo ni tatizo.
Sasa huu mfano wako hapa wala hauendani na namna mimi ninavyojadili mada sasa VW na BMW yanahusiana nini ina maana na kujisifu kwako kote huko huwa unashindwa hata kuelewa msingi wa hoja zangu, wanaume huwa mnajisifu kwamba mnatumia logic na siyo hisia kama wanawake ila kuna baadhi huwa nawaona mkibanwa vizuri kwenye hoja mnaweka logic pembeni na kuanza kuleta mihemko sasa hata sijui ni logic gani hiyo mnayotumia, logically haiwezekani tendo linalohusisha jinsia mbili ukasema eti jinsia moja ikilifanya ni kosa ila jinsia nyingine ikilifanya ni sawa kana kwamba kila jinsia inafanya na viumbe tofauti kwahiyo ikija kwenye masuala ya mahusiano huwezi kuwalaumu wanawake peke yao bila kuwahusisha wanaume ila ninyi mnalazimisha kutenganisha hivi vitu kulingana na social constructs halafu mbaya zaidi mnasingizia eti ni nature
Sasa wewe hadi hapa unatuonyesha kuwa hauna tatizo na wanawake wanaobehave tofauti kiasi kwamba ina athiri jamii na ustawi wake ila unachojali ni hisia zako zisiumie sababu wanawake wanasemwa na wewe unajihisi na kujiona ndio self appointed advocate wao jambo ambalo ni la hovyo na halina maana. You got issues and you need to address them immediately before time passes out on you.
Mimi huwa siungi mkono maovu ya wanawake ila inategemea ni maovu gani kuna maovu ya wanawake wenyewe kama wanawake ila kuna maovu ambayo wanaume nao ni sehemu ya hayo maovu na huwezi kuwalaumu wanawake pasipo wanaume kuhusika, labda uamue tu kujitoa ufahamu na kutumia mihemko kama nilivyosema yani kwa kifupi tu kwenye suala la ngono hakuna namna wanaume mnaweza kukwepa lawama kwenye kutokujitunza kwa wanawake, halafu huwa mnapenda sana kulazimisha kwamba wanawake tunapenda kutetea pale tunapoona tunahusika hii dhana sijui mmeitoa wapi yani kwamba mimi siwezi kuwatetea walemavu hadi na mimi niwe mlemavu
Mimi nipo hapa. Ukipata mwanaume wa maana mkaishi kama mume na mke miaka 5 kwa amani njoo nitakulipia full tank ya mafuta ya gari miaka 5 gari yoyote utakayotumia kummmke kama unajiamini wewe upo vema hivyo.😂😂😂😂 Takataka kabisa.

Eti wanawake wenye tabia za ajabu wanaolewa,hivi unadhani wanaume ni mafala kama unavyowawazia kwenye hilo komwe lako la kifeminist. NGOJA MUDA WAKO UFIKE UTAJUA WANAUME NI AKINA NANI🤣🤣🤣

Wanaume ni kama wajumbe wakati wa kura za maoni hawacheki na nyani. Utachezea virungu vya utosi hauta amini.

Wewe labda umrubuni mwanaume na huyo mwanaume awe SIMP nae bado hatakuweza kama hatopita na rafiki zako basi atakuwa na kazi ya kando na hapo ndipo utakuwa single mother for life. Wewe ni single mother ajae mimi nikisoma tu hoja zako naisikia attitude yako inaongea kwa sauti kuliko spika ya msikiti. You just don't get it ,haujaandaliwa kuwa mwanamke ndio maana kila siku unaforce kuonenaka mwanaume kitabia. Hii ni 🚩🚩🚩🚩 kwa mwanaume yoyote. Utaambulia zaidi ni mimba na ndoa ya mkataba ila hautaweza kumvutia mwanaume hata ujaroge wapo, ITS NOT IN YOU,YOU ARE NOT FEMININE YOU ARE MASCULINE.

Wanaume kutongoza ni kama mbwa kubweka au jogoo kuwika,ni kawaida. Kwenye kutongozwa utamzidi wema sepetu wewe,ila si unaona alipo?

Unahisi kutongozwa ndio kupendwa?🤔 Hawa masingle mother unadhani hawakutongozwa? Kutongozwa ni kawaida sana. Sisi wanaume ndio tunatakiwa kujivunia kutongozwa na wanawake sababu sio kawaida it means nina maajabu.

Ila wewe mwanamke kujivunia kutongozwa ni ishara kuwa upo very slow kuelewa game ya mahusiano. Wanaume wanatongoza hata mke wa mtu mwenye ujauzito na watoto watatu, wanatongoza mwanamke wa miaka 50. Maisha yako yote kila unapokwenda utatongozwa hadi uzeeni wazee watakutongoza,sio ajabu. Ila kupata wa kutaka kukuchukua wewe kama mke hapo ndio shughuli unayo.

Kama unabisha hapa tuweke dau. Mimi nakwambia ukiendelea hivi, 30 hiyo hapo inakaribia,hautoboi wewe. Na utakuwa single mother ndio maana upo very defensive na topic za masingle mother kwasababu unajua soon unalekea huko au pengine unaweza kuwa tayari ushaingia humo.

anyways, turudi kwenye mada.
Masikini yani unashikwa na hasira kiasi kwamba unaamua kujifanya mwanasaikolojia uchwara na nabii feki na kuandika matamanio yako kuhusu mimi, wewe nilishakuambia toka 2019 niko humu najadili mada kama hizi sijawahi kubadili misimamo mimi huwa sipindishi maneno wala siandiki ili kufurahisha watu humu kama wengine, wala hakuna jipya wewe siyo wa kwanza kubwabwaja hayo walikuwepo wanasaikolojia uchwara na manabii feki kama wewe ambao walishanitamkia mabaya zaidi ya hayo by then nilikuwa 22 tu wakawa wanasema nikifikisha miaka kuanzia 28 tayari nitakuwa single mother nimeshapigwa na maisha na nitakosa mume wa kunioa, cha ajabu nimeshafikisha hiyo miaka na bado niko na usichana wangu na ndio kwanza maisha yanazidi kuninyookea so na wewe nakuhesabia miaka, uzuri mimi siwezi kupotea jf sababu ni moja ya mitandao ninayoipenda labda nife au nipate changamoto kubwa ya kiafya ila vinginevyo nitaendelea kuwepo hapa hadi nazeeka na nitakuwa nakukumbusha kila baada ya miaka kadhaa kuwa nina hali gani ya maisha na uzuri nimeshakuambia humu kuna watu wanafahamiana nao nje ya jf, tatizo lenu mmeshakariri kwamba kila mwanamke yuko desperate na ndoa sikiliza wewe mimi ndoa na watoto havijawahi kuwa kipaumbele kwangu sijawahi kufall in love na toto la mtu wanaume wote nawachukulia kama kaka zangu na marafiki zangu tu, isipokuwa kwa wapumbavu kama ninyi wenye misogynistic mentality huwa sitakagi hata mazoea na ninyi na nikitongozwa na mwanaume wa aina hiyo naweza hata nikamjibu vibaya bila kujali status aliyonayo, mimi kwangu mume na watoto ni extras yani whether niwe navyo au nisiwe navyo kwangu havinipunguzii chochote nina vipaumbele vyangu vingine kwenye maisha yangu ambavyo vinanipa furaha zaidi kuliko kuwa na mume na watoto, ukizingatia wanaume wenyewe wengi wao ndio hawa wasiojitambua ambao ni mizigo tu kwa wake zao huko kwenye ndoa hayo mambo ya kuona kama ndoa ndio kila kitu kwa mwanamke na kupata stress na depression kisa wanaume nimewaachia wanawake walio desperate na wenye low self esteem, na hata ikitokea nimezeeka bila kuzaa wala kuolewa sina cha kupoteza wala sina la kujutia maana sijachezea usichana wangu mimi ni muumini wa no sex before marriage toka nikiwa chuo nilishajiwekea hakuna mwanaume kunivua nguo mpaka anioe, yani ni either you marry me first or *** off from my life na si kwamba hakuna walioonesha nia ya kunioa ila ni kwamba niliwakataa maana hata mimi nina sifa zangu za mwanaume ninayemtaka siwezi nikakubali tu yeyote eti kisa nahofia nikizeeka nitakosa mwanaume wa kunioa i will never beg or bow to any man for marriage so keep this crap and bullshit to yourself
 
Jadda me nikwambie tu jambo moja, mimi huwa siandiki nyuzi zangu hapa kushambulia wanawake ama kuwakandamiza. Mimi ndie yule mtetezi wao ambaye hawamuhitaji.

Hata yule mwalimu anayekuchapa sana kwa utoro na uzembe darasani utakuja kumuelewa siku ukipewa zawadi ya ufaulu na mbeleni ukija kufanikiwa kimaisha.

Same kwa hawa wanawake pamoja na wewe mnaosoma na kuona mnakuwa attacked,ipo siku mtazisoma hizi nyuzi zangu na kusema huyu mwamba alikuwa anatupa sana nondo ila viburi sasa ndivyo vilituzidi nguvu.

Sasa wewe endelea kuleta pozi na fujo zako za kifeminist ila napenda ujifunze kwenye nyuzi zangu na ubadilike na kuwa balozi wa uanamke.
Tatizo siyo kuwasema wanawake tatizo ni kuwaexclude wanaume wanaohusika kwenye hayo maovu ya wanawake na kuwavika vazi la innocence kwa kisingizio kwamba hawakomoleki, yani eti tunaishi kwenye jamii ambayo mume akifanya makosa wanafiki kama wewe mnasema lazima tu mke wake amesababisha, mtoto wa kiume akiwa shoga na ikagundulika kwamba alianza kulawitiwa toka akiwa mdogo badala wasemwe hao mabasha wanasemwa kina mama, mwanaume akibaka badala alaumiwe yeye mwenyewe kwa kuendekeza nyege za kipumbavu eti analaumiwa mama kwa malezi mabovu na hapo ukute huyo mbakaji ana ndugu zake wamekuwa wote ndani ya nyumba moja na wamelelewa na mama mmoja, ila yeye peke yake ndiye ana tabia mbovu halafu mama anaambiwa hakuwalea vizuri sasa kama hakuwalea vizuri inakuwaje ni huyo mtoto mmoja tu au wawili ndio wenye tabia mbovu kwanini wasiharibikiwe wote badala yake unakuta wengine wana tabia nzuri, kwahiyo katika hali kama hii nawaambia hakuna mwanamke mwenye akili timamu atakayewasikiliza wala kudhani kwamba eti mnawasaidia wao ilihali hata wao wenyewe wanaona kabisa, chanzo cha maovu kwenye jamii wala siyo wao peke yako ila jumba bovu wanaangushiwa wao halafu wahusika wenzao wanajiweka pembeni na kujifanya hawana hatia yoyote na huu ndio unafiki ninaousema yani kabla ya kuanza kuwakemea wanawake ilitakiwa wanafiki kama ninyi ndio mkemewe kwanza kwa kuwa na biasness mbaya kiasi hiki
 
1. Zamani : Mwanamke anakutana na mwanaume kakonda hana mwili, kimoyomoyo " huyu mwanaume hana mtu anayemtunza hadi ana dhoofu afya nipambane niolewe nae nimtunze hadi apendeze"

Sasa : Mmmmhmn MUNGU aniepushe na hiki kikombe, mtu kakondeana kama mti wa dawa afu anajiamini kunitongoza, usikute ana ngoma,hebu ukoo"

2. Zamani: Mwanamke anakutana na mwanaume miaka 30 bachelor hana hata mtoto. "MUNGU kajibu maombi yangu kanipa wa kwangu wa kujehga nae familia from scratch"

Sasa : Mmmmhmn huyu atakuwa ni muhuni,ogopa mwanaume ambaye hajazaa na mtu na hana hata mtoto wa kusingiziwa. Mimi hapana kwakweli ni bora niendelee kuwa single kuliko mtu wa hivi"

3. Zamani: Mwanamke anatongozwa na mume wa mtu. " Mmmmhmn hii si sawa,nitapata laana kuvunja ndoa ya mtu,watoto watateseka wazazi wao wakitengana,na ni dhambi kwa MUNGU wacha tu nisubirie kupata wa kwangu"

Sasa: " ooooh Hallelujah,ngoja niende kwa mwamposa kutoa sadaka kwa kunieletea mwanaume wa ndoto zangu, ana mali, biashara na ananijali,mkewe na watoto wake itabidi wajikaze mimi siwezi kupishana na bahati"

4. Zamani: Mwanamke anakutana na kijana amehitimu masomo ila hana ajira na anajitafuta. " Hongera kwa kumaliza masomo,usijali, MUNGU atatufungulia njia huko mbeleni tutapata mali kwasasa tujibidiishe na maisha".

Sasa : " mmmmmmmmmn sasa mwanaume hauna hela,hauna kazi unanitaka utanihudumiaje kwa mfano, au unataka ukanifubaze nichakae ndio ufurahi? We kuweza"

5. Zamani : mwanamke akienda nyumba ya ibada. " MUNGU baba naomba unilinde na kuniweka mbali na vishawishi na uovu wa shetani,nilinde huu mwili wangu na hiii bikra yangu hadi ndoa niwe mke mwema na kuishi kwa namna ya kukupendeza"

Sasa : " eeeeh Yesu naomba uningezee tako , shepu na rangi ya mtume ili wanaume wakiniona wachanganyikiwe,nisamehe kwa kutoa mimba ya tatu niliogopa kuzaa mtoto asiteseke. Naomba unipe mume handsome,mrefu,rangi nzuri,ajue kuvaa,awe na hela nyingi,kwao wawe matajiri,awe wangu pekee yangu anipende pekee yangu.


Kwa kifupi wamebadilika sana.
Nimeanza kupata wasiwasi kama hujaleft group au uko mbioni

🤣🤣🤣
 
Ndugu zangu pamoja na yote,tukumbuke kuwa haya yote yanatokana na ugumu wa maisha.
Tusiwalaumu tu wanawake tuende kwenye uhalisia pia,mwanamke anahitaji matunzo,ambayo anatarajia kuyapata kwa mwanaume wake,na wewe huna hela,unataka mtoto wa watu afe na njaa eti kisa unampenda?

Ndugu zangu tutafute hela..
 
Wewe hebu uwe basi hata na aibu. Vimini ni vazi la juzi juzi tu kwenye jamii ya mtanzania na mwafrika hebu tushirikishe wewe hivyo vimini na sleeveless walizivalia wapi, miaka gani,eneo gani hilo?
Vimini ni modifications tu ya vazi la zamani la ngozi fikiria watu walikuwa wanafunika ikulu tu 🤣🤣🤣🤣
 
Mademu wa siku hizi K zinatoa smell hatari, wamenishinda kabisa. Yaani nikimtokea demu yoyote siku hizi kitu cha kwanza itakuweje K yake.
Watakuja wa town kusema unakutana na K za vijijini hazijui kujiosha. Za town ndio kabisa zimechoka kwa kupigwa msasa na makemikal ya kuoshea ili zinukue kumbe ndio wanajiharibu kabisa. Wale bacteria wanaotunza K itoe smell asilia wamebadirika wanawatengenezea smell ya ajabu sana. MUNGU wa ajabu sana smell asilia ya kuhamasisha unaikuta huko kijijini sana.

Wazungu pamoja na uchafu wao wanatunza sana K zibaki na uasilia
 
Back
Top Bottom