Wanawake wote wananikataa!

Wanawake wote wananikataa!

TYENIA

Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
29
Reaction score
8
hi!wanajamii forum!
mimi ni mkazi wa moshi nina umri wa miaka 30, kila mdada nikimtongoza ananikataa na sasa natafuta mke wa kuoa!
jamani nisaidieni nijikeep vipi ili niweze kupata mwenza wangu wa maisha?
 
Pole sana,uangalie upya uwezo wako wa kujiamini,baadhi yao(siowote)huonesha ukubali kwa namna tofauti
 
Hawa watu mara nyingi hawajui wanataka nini, wakati mwingine sitaki kwao huwa wanamaanisha nataka. Jaribu kuwasoma vizuri.
 
hi!wanajamii forum!
mimi ni mkazi wa moshi nina umri wa miaka 30, kila mdada nikimtongoza ananikataa na sasa natafuta mke wa kuoa!
jamani nisaidieni nijikeep vipi ili niweze kupata mwenza wangu wa maisha?
Umetahiri?
 
hi!wanajamii forum!
mimi ni mkazi wa moshi nina umri wa miaka 30, kila mdada nikimtongoza ananikataa na sasa natafuta mke wa kuoa!
jamani nisaidieni nijikeep vipi ili niweze kupata mwenza wangu wa maisha?

Nahisi kuna sababu nyuma ya pazia..Hebu jicheck tabia zako..je haziwakwazi wanawake.?mfano inaweza kuwa wewe mvivu au mchafu au mgegedaji etc.Kama hapo upo fiti inawezekana ni yale mambo ya sex hayaendi vizuri(sifagilii sex before ndoa).Kama uko kote hakuna shida basi jicheki ur spiritual life ..may be una jini mahaba linawivu juu yako
 
Endelea kupiga nyeto tu, atakae kupenda hajazaliwa.
 
Hi wanajamii forum!
mimi ni mvulani mwenye umri wa miaka 30 na kila nikitongoza mdada ananikataa,na umri wa kuoa umeshafika nifanyeje?
 
Ushapata maisha?

Sio unatafuta binti mambo yako mwenyewe mkandaa.
 
pole bingwa. Jaribu kuwatongoza na fix kubao na hela nje nje. Watakusoma tuu
 
Nahisi kuna sababu nyuma ya pazia..Hebu jicheck tabia zako..je haziwakwazi wanawake.?mfano inaweza kuwa wewe mvivu au mchafu au mgegedaji etc.Kama hapo upo fiti inawezekana ni yale mambo ya sex hayaendi vizuri(sifagilii sex before ndoa).Kama uko kote hakuna shida basi jicheki ur spiritual life ..may be una jini mahaba linawivu juu yako

Mhhh toka umerudi toka ams unanipotezea sana...gaude anakusalimia lakini
 
Back
Top Bottom