Mwombe Mungu kwa imani utapata mke bora! Pia jitahidi kuwa smart(kama haupo smart) wanawake wengi wanavutiwa na hiki.
Hao ndo wanaotaka waitwe boyfriend wakati ni manfriend
Swali moja kwako?.upo vizuri kwa wallet,if yes then una tatizo lakini kama wallet empty,then their is ur problem..!hi!wanajamii forum!
mimi ni mkazi wa moshi nina umri wa miaka 30, kila mdada nikimtongoza ananikataa na sasa natafuta mke wa kuoa!
jamani nisaidieni nijikeep vipi ili niweze kupata mwenza wangu wa maisha?