maishamagumutanzania
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 221
- 65
unatafuta tabu tu mi naona bora upige nyeto inasaidia kwa namna moja au nyingine.:A S angel:
:lol::lol:
hi!wanajamii forum!
mimi ni mkazi wa moshi nina umri wa miaka 30, kila mdada nikimtongoza ananikataa na sasa natafuta mke wa kuoa!
jamani nisaidieni nijikeep vipi ili niweze kupata mwenza wangu wa maisha?
hi!wanajamii forum!
mimi ni mkazi wa moshi nina umri wa miaka 30, kila mdada nikimtongoza ananikataa na sasa natafuta mke wa kuoa!
jamani nisaidieni nijikeep vipi ili niweze kupata mwenza wangu wa maisha?
hi!wanajamii forum!
mimi ni mkazi wa moshi nina umri wa miaka 30, kila mdada nikimtongoza ananikataa na sasa natafuta mke wa kuoa!
jamani nisaidieni nijikeep vipi ili niweze kupata mwenza wangu wa maisha?
Nenda kaoge mto wenye mamba na viboko wengi.
ww umemiss ugomvi si bure,mie naishi Washington.
Hao ndo wanaotaka waitwe boyfriend wakati ni manfriendhahahaha, mbona mnamuandama? Yeye anajiona mvulana, yani "boy". :smile-big:
3 C's unazo?cash,care n car!.vingine mbwembwe 2..watakuja wenyew.