Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,012
- 5,613
watatafutaa pamoja, hizo ni sababu tu za watu wasio taka kuoa. lolUshapata maisha?
Sio unatafuta binti mambo yako mwenyewe mkandaa.
watatafutaa pamoja, hizo ni sababu tu za watu wasio taka kuoa. lolUshapata maisha?
Sio unatafuta binti mambo yako mwenyewe mkandaa.
Nenda kaoge mto wenye mamba na viboko wengi.
watatafutaa pamoja, hizo ni sababu tu za watu wasio taka kuoa. lol
hahahaha, mbona mnamuandama? Yeye anajiona mvulana, yani "boy". :smile-big:Mvulana wa miaka 30? Sred yenyewe unaandika kitoto hivi, no wonder!
Nenda kaoge mto wenye mamba na viboko wengi.
sasa mbona una weka thread nyingi.Ndio kusema umechanganyikiwa au?
hi!wanajamii forum!
mimi ni mkazi wa moshi nina umri wa miaka 30, kila mdada nikimtongoza ananikataa na sasa natafuta mke wa kuoa!
jamani nisaidieni nijikeep vipi ili niweze kupata mwenza wangu wa maisha?
hi!wanajamii forum!
mimi ni mkazi wa moshi nina umri wa miaka 30, kila mdada nikimtongoza ananikataa na sasa natafuta mke wa kuoa!
jamani nisaidieni nijikeep vipi ili niweze kupata mwenza wangu wa maisha?
Mhhh toka umerudi toka ams unanipotezea sana...gaude anakusalimia lakini