[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa Mkuu vitambi vyetu vinakuhusu nini, kwani umelazimishwa uwachukue wenye vitambi, kitambi cha mwingine kuumia uumie wewe,kuna wenzako wanavipenda ujue, halafu mara nyingi nyie mnaokosoaga vitu ndio wahanga wakubwa,kama sio mkeo ana kitambi basi gf wako ana kitambi, na ww pia unacho au una kibamia, tupishe sie na vitambi vyetu kwa raha zetu
yaani unakitambi na bado unahitaji na pesa!?
Hakuna kitu kinachomuumiza mwanamke kama kuongezeka tumbo huku wakitarajia kuongezeka matako.Wakuu
Wimbi la ongezeko la wanawake wenye vitambi linaongezeka kwa kasi sana zaidi hata ya speed ya treni ya standard gauge
Wanawake wenye vitambi kiukweli hawana mvuto kwangu na kwa wanaume wengi hapa jijini kwani vitambi vimewapelekea kuwa ni wanawake mizigo kitandani yaani wamekuwa zaidi ya furushi
mwanamke na kitambi yaani ukimuona huwezi jua kiuno kimeanzia wapi na kinaishia wapi zaidi kitumbo mbele tu
tumbo la mimba ni zuri na linampangilio wake wa kuvutia tofauti na haya ma-iregular tumbo
mwanamke na kitambi hawezi kuzungusha kiuno na kulikatikia dushe anapopewa njukuti kunako 6*6
naomba niweke wazi, kama unajiona ni mwanamke na unalikitambi...please kaa mbali na Once set
Pesa sina ila wadada wanaijia hogo.
Mchuzi ni mafuta tupu,Mkuu nakuhakikishia wanawake wenye vitambi hawavipendi hata kidogo ni vile tu wanapenda kula kula hovyo na hawataki/hawawezi kufanya mazoezi consistently.
Sent using Sukhoi Su-57
Haha eeeeeh,Hakuna kitu kinachomuumiza mwanamke kama kuongezeka tumbo huku wakitarajia kuongezeka matako.
Wewe ukute unalikitambi na bado una ghubu hapo mwanaume unatamani kuhama dunia, utajiuliza maswali yote ulikosea wapi usijue.
Wewe ukute unalikitambi na bado una ghubu hapo mwanaume unatamani kuhama dunia, utajiuliza maswali yote ulikosea wapi usijue.
Nlikosea mkuu.Hiyo wizara ya taifa ndio ipi mkuu?? Ni wizara mpya nchini au macho yangu yana matege siku hizi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kitambi ufanye mazoezi kisipungue maajabu.Dah, sio poa kabisa hakuna anaependa kuwa hivyo ila ameumbwa na mwili wa hivyo kuna wengine hata ufanye mazoezi ya aina gani hawezi kupungua. Let them be, hatuwezi kuwa sawa wote duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
mmmh jamani we mbaya..doohAcha kabisa mkuu, unakua unahisi unaingiza dushe tumboni.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Eeenh we ndio hujui basi, hao wenye vitambi ndio wenyewe...
Ukimlalia juu ule upepo wa tumbo unatawanyikia kwenye papuchi huko, inaifanya papuchi iwe imetunatuna hivi raha burdaaani....
Burdani nyingine ni kwenye ule mshikemshike wa kutafuta papuchi ipo longityudi na latityudi gani, mara umeweka kwenye kitovu mara umeweka pale...teh teh!!!
bora utukuoe n.a. vitambi vyetu[emoji1] [emoji1]Sio wote watapenda unachopendelea wewe binafsi nawapenda sana wanawake wenye vitambi,matipwatipwa,wale waliojaaliwa nyama mwili mzima. Wasijione wanyonge nipo kwa ajili yenu.
Kuanzia kesho asubuhi kunywa maji ya moto kiasi ukiweza kamulia na ndimu moja au zaidi upendavyo kabla hujakula kitu chochote, jumlisha na mazoezi ya kuondoa kitambi unaweza kucheki you tube uretemlejesho mamy nikuelekeze njia nyingineHivi unadhani hivi vitambi tunavipenda? ......
Jamani anayejua namna ya kupunguza tumbo kwa njia za asili anielekeze mi staki kufunga mkanda
Sent using Jamii Forums mobile app