Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 7,004
- 10,406
una upwiru kuliko njaa kashtukia
Nataka mkuu, ila kwenye feed kila nikifungua nakutana sijui na thread gani, mara "Niliwahi kuhamia nyumba mpya bila kufanya usafi nikapiga chafya wiki nzima je wewe umewahi kupitia kitu kama hiki?!?"Mkuu unataka post zilizo serious tu? Hutaki utani kabisa?🤔
Umefanya nicheke! Dah inaboa lakini sasa utafanyaje zaidi ya kuzipita tu mkuu!Nataka mkuu, ila kwenye feed kila nikifungua nakutana sijui na thread gani, mara "Niliwahi kuhamia nyumba mpya bila kufanya usafi nikapiga chafya wiki nzima je wewe umewahi kupitia kitu kama hiki?!?"
"Nimekutana na rafiki yangu wa utotoni aliwahi kunipiga kelbu je nimrudishie au nimuache, wewe umewahi kukutana na rafiki yako?"
LIKE SERIOUSLY?!?!!?!?!?!?!.
Nashukuru kwa kunipa moyo mkuu nitajitahidi kujikaza nivumilie.Umefanya nicheke! Dah inaboa lakini sasa utafanyaje zaidi ya kuzipita tu mkuu!
Humu ndani kuna rika za kila aina kuna vijana werevu na wazee wapumbavu! Kuhusu id latest sio swala, maana tunatofautiana mwingine akiwa idle upumbavu tu ndio unajaa, wengine wapo vijana wadogo sana ila wana maarifa mpaka unabaki kushangaa tu! Na kuna wazee ata akiquote unajiuliza hivi huyu mzima kweli? Ndio walimwengu chukulia kawaida tu mkuu!
Vizuri kabisa - japo maandishi ya hatua yanakuwepo mezani ili nisisahau kitu.We unaweza kupika pilau mkuu?
Mkuu😅😅😅Vizuri kabisa - japo maandishi ya hatua yanakuwepo mezani ili nisisahau kitu.