Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,631
- 2,957
Tumekubaliana aje anipikie pilau na nyama, nishanunua kila kitu hapa namsubiri mpishi afike lakini wapi.
Na anajua jana usiku sikula kabisa, huyu mdada anataka nife njaa au nipate ulcers?
Goddamn sasa hivi vitu nitavifanyaje?
Mwana JF yeyote ajae tutoe kitu basi
Na anajua jana usiku sikula kabisa, huyu mdada anataka nife njaa au nipate ulcers?
Goddamn sasa hivi vitu nitavifanyaje?
Mwana JF yeyote ajae tutoe kitu basi