Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,069
- 4,294
Wanawake wa huruma za mdomoni zsizokuwa na msaada wwte kufupsha women are only the best when they are our mother over
Hakuna cha kulipia...
Nakupenda pia....Wewe ndio Chakorii?,punguza wenge wewe
Kama alifikia huku aiseh nahisi kuna kitu hakiko sawaAmpinge mara ngapi, kuna siku alitoa comment ya ajabu ndipo kuanzia hapo nikawa simuelewi.... Alisema anawasi wasi hata hivyo vitabu vya MUNGU yaani Bible na Quran zinaweza kuwa si vya kweli ni maandiko ya wanaume wasanii wameandika ili kuwarubuni wanawake wawatawale..... Nikajisemea moyoni hivi hili toto lina akili sawa sawa hili.... Mbona kama taahira.....
Yani..Wanawake wa huruma za mdomoni zsizokuwa na msaada wwte kufupsha women are only the best when they are our mother over
Mna matatizo sana hata ukiangalia huko vijijini na hata hapa Dar, wachawi wengi ni wanawake.Ninajaribu kufikiria kila mara na sijawahi kupata jibu ni Kwanini wengi wetu tuko hvyo..
Hapo wa ajabu zaidi ni mwanaume mzima na suruali zake amekaa Kwenye siti anasubiri wadada wapishe..Nilishawahi panda kwenye daladala, nakushuhudia mdada akigoma kumpisha siti mwanamke mjamzito tena mimba kubwa tu. Alipishwa na jamaa.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kumpisha mtu wala haiangalii jinsia, ni matakwa na moyo wa mtu.Hapo wa ajabu zaidi ni mwanaume mzima na suruali zake amekaa Kwenye siti anasubiri wadada wapishe..
Mwanaume gani anakaa akisubiri dada zake wasimame??
Ndo ubinafsi wenyewe huo.
Hii ni kweli kabisaYani..
Mfano mdogo tu..mwanamke anaweza kukaa na mwanamke mwenzie chumba kimoja wakaishia kuwa maadui(sio wote.wengi huishia kuwa maadui wakubwa)
Mwanaume anaweza kukaa nyumba moja na mwanaume mwenzie kwa muda mrefu na bado wakawa marafiki (ingawa pia sio wote.wachache sana huishia kuwa maadui)
Sijui nini shida
Kama umeshajua kumpisha mtu hakuangalii jinsiaKumpisha mtu wala haiangalii jinsia, ni matakwa na moyo wa mtu.
Huyo mwanaume aliyeachia siti alitoka nyuma na kumuita yule dada mjamzito akakae. Kwa mazingira ambayo yule mjamzito alikuwa kasimama,waliokuwa karibu wengi umri ulikuwa umeenda kiasi,ni wawili tu waliokuwa vijana, na wote wanawake. Kati ya hao vijana, mmoja alikuwa amebeba mtoto, nahisi alitoka clinic, mwingine ndio huyo aliyefungua dirisha na kuangalia nje as if hataki kujua ndani panaendelea nn.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hakuna raha ya kuanzisha vita km kujua namna ya kuimaliza,siku nikipata uwezo huo sawaHa ha ha
Shukran na hongera kwa kuweza kumtambua mapema pia,napendezwa na watu wenye vichwa vyepesi dizaini yakoYupo huku nimeshamuona mkuu
Kuna watu na viatu, pengine mm niliyeshindwa kulielewa hili ndio kiatu chenyeweNi roho mbaya tu hakuna kingine
Upo sahihi, roho mbaya haiangalii jinsia. Ila mada yetu inazungumzia upendo/kujaliana kati ya wanawake kwa wanawake, au wanaume kwa wanaume.Kama umeshajua kumpisha mtu hakuangalii jinsia
Basi hata roho mbaya haiangalii jinsia.