Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,579
- 50,666
- Thread starter
- #361
Nitalipia kwako!au kwa nani labda!sijawahi kujifanya kitu gani sijui huko na wala sifikirii kufanya hicho unachosema😅😅Utalipia hizo sifa,we jimwambafy tu
Huwa ni mtu ni nae kubali kosa kama nakula za uso nakula za uso tu hakuna mjadala.
Kama kusema kweli nikujimwambafai basi usipoteze muda na comments zang 😅😅