miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,155
Ehee Umeshaanza kuchepuka huko we Mwanaume hufai kabsa, nakupa talakaNaomba kuona paja basi
Ehee Umeshaanza kuchepuka huko we Mwanaume hufai kabsa, nakupa talakaNaomba kuona paja basi
Ehee Umeshaanza kuchepuka huko we Mwanaume hufai kabsa, nakupa talaka
Safi sana, wewe umenielewa vyema. Wakati naomba namba sikujua kuwa ameolewa, ndio kusema mwanamke kama hajaolewa mtu unaweza kuomba kazi tu.Mkuu mdada ndio alizidi tamaa maana ni mke wa mtu ila alitoa no faster ila kwa kuwa mleta mada alikuwa mstarabu alivyojua ni mke wa mtu akafuta no
Point...Sasa mkuu mbona unamponda?, yeye kaomba no kiroho safi lakini yule Dada anajua yeye ni mke wa mtu kwa nn alikubali kutoa no? Mleta mada kwa kuwa muungwana baada ya kujua Dada yule ni mke wa mtu alifuta no lakini KE akiombwa no kwan lazima atoe tena kwa mtu asiyemjua wamekutana kwenye gari tu hizo tamaa tu hamna lolote.
Kwahiyo kuomba namba ni kutongoza na kupewa hiyo namba ni tayari umekubaliwa? wee jamaa jiangalie.Sijamuona malaya... Lkn ukiwa mke/mume wa mtu ni vyema ukajilinda na hasa ukiwa ni mke.
Kwangu mimi nilivyomuomba namba kama angenambia kuwa ameolewa ningempongeza sana. Kama tukiwa wakweli wanaume wengi tunaomba namba kwa wanawake tukiwa na lengo la kuanzisha mahusiano na wanawake wanajua hilo. Kwa maoni yangu kutoa namba kwa mwanamke anajiweka karibu zaidi na mitego kutoka kwa huyo mwanaume. Kwa wanaume tulio wengi tunaona kwamba mwanamke akikupa namba tu anakua amekuwashia taa ya kijani.
Ww nmekufuata pm umechunaaEhee Umeshaanza kuchepuka huko we Mwanaume hufai kabsa, nakupa talaka
Tena talaka 3Hahahaha talaka mubashara
MhhhWw nmekufuata pm umechunaa
Point...
Nimekuamini hii story yako niyakweli coz mwenyewe ishanitokea ninatumia iPhone 6s kuna sehem nilienda pia dem kuiona sim akadata ... ***** madem punguzen tamaa
Unajifanya hujaona?!Mhhh
Njoo uchukue talaka zakoUnajifanya hujaona?!
Kurukwa akili kisa iPhone ni ushambaKwelii.....ushamba wake uko wap??,
Nitumie pm tu....mm mwnyw nimeshachoka kubembeleza penzi kila ckuNjoo uchukue talaka zako