Wanawake wengi wanaponzwa na tamaa.

Wanawake wengi wanaponzwa na tamaa.

We nae unajichanganya tamaa iliyomponza hapo iko wapi...kaishangaa simu kamaliza baas..angekua amekumind angemtaja mumewe hadharani?? Jiongeze
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Endelea kunitesa hivo hivo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

[emoji338]
 
Mlivyo mafisi ujikute tu umempotezea..!siku hizi wanaume mlivyo waroho hadi shemeji zetu mnakulaga..
Yani usiseme hapa home kuna shemeji yangu kaja kunisaidia kumwangalia wife kajifungua napata shida lakini lazima nimuonje haiwezekani yupo vizuri sana.
 
Nimekuamini hii story yako niyakweli coz mwenyewe ishanitokea ninatumia iPhone 6s kuna sehem nilienda pia dem kuiona sim akadata ... ***** madem punguzen tamaa
Yeah! Ni true story bro.
 
Wanawake tunaponzwa na tamaa... Wewe ulipoangalia lile gauni jepesi na paja uliponzwa na nini.... Kwendraaaaaaaaaaaa
 
Hata nyuki hatui kwenye mbao.

Kama wewe mwanaume una sura mbaya, tafuta hela.

Kama wewe mwanamke una sura mbaya,
tafuta tacko.

Sipendi ujinga mimi.
 
Kumbeee! Kwa hiyo ningekaza kumbe ningekula mzigo [emoji1] [emoji1]
Mzigo ungekula tena watoto wa huko wapo vizuri sana. Yaani wangekufanyia kila kitu. We mwenyewe ungechanganyikiwa
 
Kwa tathmini yangu ya harakaharaka, huyo mdada hajaolewa ila inaonyesha kuna mwanaume amezaa nae kwa hiyo mkuu ungekomaa nae tu!
 
Yani usiseme hapa home kuna shemeji yangu kaja kunisaidia kumwangalia wife kajifungua napata shida lakini lazima nimuonje haiwezekani yupo vizuri sana.
Doh ona ulivyokosa huruma unataka uwale wote lol...Mungu anakuona na ukichepuka na shemejiyo nakuombea ufumaniwe
 
Doh ona ulivyokosa huruma unataka uwale wote lol...Mungu anakuona na ukichepuka na shemejiyo nakuombea ufumaniwe
Namla Mara moja tu halafu sirudii tena. Usiniombee nikutwe charty. Halafu mwenyewe ananipenda sana.
 
Back
Top Bottom