Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Usingetoa namba basi.sipendi tu yaani!!.
na nakuambia kabisa kua sitapokea..
au laa nampa mtu akupokelee
Usingetoa namba basi.sipendi tu yaani!!.
na nakuambia kabisa kua sitapokea..
au laa nampa mtu akupokelee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nshatoaUsingetoa namba basi.
Kwelii.....ushamba wake uko wap??,Huyo mwanamke licha ya kuwa na tamaa,ni mshamba pia
Wewe huna tamaa, mwanadamu asiye na tamaa si mkamilifu. Mwanadamu lazima atamani.Wote mlikutana mna tamaa usimnange mwenzako
Sijamuona malaya... Lkn ukiwa mke/mume wa mtu ni vyema ukajilinda na hasa ukiwa ni mke.Ulimtamani,ukamuomba namba akakupa unamuona malaya. Je angekutukana ungemuona ana nyodo. Hivi wanaume huwa mnaridhika na nn hasa?
Tushajua unamiliki iphone hongera.
Sasa mkuu mbona unamponda?, yeye kaomba no kiroho safi lakini yule Dada anajua yeye ni mke wa mtu kwa nn alikubali kutoa no? Mleta mada kwa kuwa muungwana baada ya kujua Dada yule ni mke wa mtu alifuta no lakini KE akiombwa no kwan lazima atoe tena kwa mtu asiyemjua wamekutana kwenye gari tu hizo tamaa tu hamna lolote.Ulimtamani,ukamuomba namba akakupa unamuona malaya. Je angekutukana ungemuona ana nyodo. Hivi wanaume huwa mnaridhika na nn hasa?
Tushajua unamiliki iphone hongera.
Nipe namba yako basi.[emoji23] [emoji23] [emoji23] nshatoa
hayaNipe namba yako basi.
Mkuu mdada ndio alizidi tamaa maana ni mke wa mtu ila alitoa no faster ila kwa kuwa mleta mada alikuwa mstarabu alivyojua ni mke wa mtu akafuta noWote mlikutana mna tamaa usimnange mwenzako
jingine sumbufu ndo napokupa halafu sikupokelei...!!whsaap bloku mujarabuuu!!Kama ni mke wa mtu au upo kwenye mahusiano huna haja ya kutoa namba kwa wanaume[emoji12] [emoji12]
Sasa mkuu mbona unamponda?, yeye kaomba no kiroho safi lakini yule Dada anajua yeye ni mke wa mtu kwa nn alikubali kutoa no? Mleta mada kwa kuwa muungwana baada ya kujua Dada yule ni mke wa mtu alifuta no lakini KE akiombwa no kwan lazima atoe tena kwa mtu asiyemjua wamekutana kwenye gari tu hizo tamaa tu hamna lolote.
Sijamuona malaya... Lkn ukiwa mke/mume wa mtu ni vyema ukajilinda na hasa ukiwa ni mke.
Kwangu mimi nilivyomuomba namba kama angenambia kuwa ameolewa ningempongeza sana. Kama tukiwa wakweli wanaume wengi tunaomba namba kwa wanawake tukiwa na lengo la kuanzisha mahusiano na wanawake wanajua hilo. Kwa maoni yangu kutoa namba kwa mwanamke anajiweka karibu zaidi na mitego kutoka kwa huyo mwanaume. Kwa wanaume tulio wengi tunaona kwamba mwanamke akikupa namba tu anakua amekuwashia taa ya kijani.
Kwa kutetea basiAngekua hana nia nzuri na wewe asingeongelea masuala ya mume na watoto na ungeingia king bila kujua ila alikua anataka tu maongezi nawe na kujua bei ya simu(yap aliipenda simu sio wewe na kama ana uwezo atainunua mbeleni)