Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,094
miye nakupa nasipokei au nkipokea nakata...Kweli kabisa wana shukran ya punda mateke.
Mi huwa nagoma kuwapa namba namwambia nipe yako nitakutafuta ndio imetoka hio.
ukizidi usumbufu nakuuliza we nani!??!!!!