Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,094
sawa...asante sana!!Yani hutoi namba ovyo, Na mtu akipiga hupokei! Wewe Na huyo mdada wa kwenye daladala sawasawa!
tena ukute nlikua miyeee!!!!
sawa...asante sana!!Yani hutoi namba ovyo, Na mtu akipiga hupokei! Wewe Na huyo mdada wa kwenye daladala sawasawa!
njoo ulione!!!Naomba kuona paja basi
Nije wapi?!...njoo unionyeshe basinjoo ulione!!!
njoo hukuNije wapi?!...njoo unionyeshe basi
Lilete nakusubiri mamanjoo huku
nshafikaaaLilete nakusubiri mama
Ushafika wakat bado upo hapahapa...[emoji35] [emoji35]nshafikaaa
Kipi bora kwako! Kuonekana Malaya au kuonekana una Nyodo?
kwani hapafai?!!Ushafika wakat bado upo hapahapa...[emoji35] [emoji35]
Utapishana na gari la mshahara, shauri yako....maisha yenyewe haya hayana guaranteehawana shukrani
mm hua sitoi namba yangu hpvyo
na saa ingine ht nkitoa ukipiga sipokei
Basi mama....ringa.kwani hapafai?!!
Naomba namba yako plzhawana shukrani
mm hua sitoi namba yangu hpvyo
na saa ingine ht nkitoa ukipiga sipokei
Naomba basi no yako numbisaKweli kabisa wana shukran ya punda mateke.
Mi huwa nagoma kuwapa namba namwambia nipe yako nitakutafuta ndio imetoka hio.
Haaa..tayari naringaaa...!!tenaBasi mama....ringa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] 0716860005Naomba namba yako plz
Ahsanteee[emoji23] [emoji23] [emoji23] 0716860005
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] nimecheka balaaaa...!!!Utapishana na gari la mshahara, shauri yako....maisha yenyewe haya hayana guarantee
Basi kuanzia leo urafik umeishaHaaa..tayari naringaaa...!!tena