Wanawake wengi walioolewa ni wepesi

Wanawake wengi walioolewa ni wepesi

Siku hizi kuna makundi ya Vijana hawana ajira, ukilala na mke wa mtu unasakwa unaliwa na wewe, kisingizio kingne hakipo, ukipigwa puli mtoto wa kiume hata ukijikausha hili litakusumbua mpaka unaingia kaburini, labda kama wewe ni shoga...
 
Siku hizi kuna makundi ya Vijana hawana ajira, ukilala na mke wa mtu unasakwa unaliwa na wewe, kisingizio kingne hakipo, ukipigwa puli mtoto wa kiume hata ukijikausha hili litakusumbua mpaka unaingia kaburini, labda kama wewe ni shoga...

Cha msingi mwambie wife wako aache kugawa papuchi, huwezi kunipata mimi kwa sababu nitakutawanya makalio yako kwa bunduki.
 
Jumlisha mama'ako na ndugu zako wa kike waliolewa,wakati mwingine uigizage japo adabu kidogo basi kwani kutulia au kuchepuka ni tabia ya mtu haijalishi kaoa,kaolewa au bado

Wewe weka mkeo, mama yako, dada yako mpaka watoto wako ukitaka. Mie nakupa experience halafu unalialia hapa. Wife wako akiliwa ndio utapata akili.
 
Hao wana pepo la ngono tu.

Tatizo hilo halipo kwa wanawake waliolewa tu bali kwa baadhi ya wanawake waliolewa, wasichana (wengine wanavyuo), wanaume waliooa na wasiooa. Hata sisi wanaume tulio katika ndoa tunasumbuliwa sana na wasichana wasioolewa. Mwingine ukimpa tu lift, akiteremka anaomba namba yako. Wengine wanachukua simu wanajifanya wanaiangalia kumbe wanajipigia. Unashangaa usiku wa manane messages zinaanza kuingia.

Usitegemee utaepuka ukimwi au kuushinda uzinzi kwa kutotongozwa na wanawake/wasichana au kwa kukataliwa unapowatongoza bali ni kwa maamuzi yako binafsi.

Kuna mwanamke, niliombwa na mume wake nimpe lift, nikampa. Toka siku hiyo ni usumbufu mtupu, alipoona simwambii alichotaka kuambiwa, akanitumia message, 'we mwanaume ninakupenda sana lakini naona una maringo, lakini tambua Dunia hii ni ndogo sana, siku utakaponihitaji nami nitakukaushia', nami nikamjibu kwa upole, 'ukifanya hivyo utakuwa umenisaidia mimi na nafsi yako'. Lakini haikusaidia, mpaka sasa katuma messages tano, nimekaa kimya na wala sitaki kumjibu. Hili ni moja lakini yapo mengi, cha muhimu ni maamuzi na akili yako kichwani.
 
Eti una watoto wanne bado unawaonea wivu watoto baba akitoa millions za ada. Juzi jimama linaona ada inalipwa linaita mashost kulalamika. Aliyeumba hii binadamu alizipa laana ya kutosha. Then limejikoroga hadi nyama inaonekana kama ---- la anyani. Aibu sana.
 
Mijitu mingine ya humu ni kuku kabisa aisee, unailetea hali halisi inayojiri hivi sasa, wanaanza kukushambulia! Sasa wewe kama mke wako alishaliwa au unatarajia ataliwa mie inanihusu nini? Mna mikwara kama mbu kwenye neti au Mbasha dhidi ya Gwajima, maneno mengi na mikwara uchovu kibao huku actions hatuoni. Wengi mlio na hasira ndio kawaida yenu, mkiwakuta wake zenu wanaliwa nyie ndio mnaanza kuomba msamaha. Waambieni wake zenu waache kuja kwa wanaume huku hawajavaa hata chupi, wanajua mambo ya fasta fasta hao!

Msitake kuniondolea swaumu saa hizi!
 
Ha ha ha so easy like this unagive up
Chuo nakisikia tu..

Kwa hiyo ningekuwa mwanachuo what next
...i never gave up, i don't usually give up.. especially when the going gets tougher, ndo nahamasika...lol
Ungekuwa mwanachuo hata salam nisingekupa..teeh! stress za vitoto vya chuo sizitaki mie!!
 
Cha msingi mwambie wife wako aache kugawa papuchi, huwezi kunipata mimi kwa sababu nitakutawanya makalio yako kwa bunduki.

Bunduki na hilo tumbo lako kubwa kama pipa upige nani utaliwa tu
 
Hizi hadithi nyingine bwana.......

Kwani dunia imeumbwa leo?

Babu DC!!
 
I started number 1, umefuatwa, 2 umefuatwa, 3 umefuatwa, mpaka ya 4? wewe hufuati wala hujatongoza? hii hadithi inatunfundisha nini, if you behave well and not invisting these things in your life you wont experience them, it looks like you are enjoying? IDIOT .... Soma magazetini na mitandaoni ujifunze wala wake za watu huishia wapi? mbwiga wee


Wanawake wengi walioolewa wamekuwa wepesi (achilia mbali vidada ambavyo havijaolewa, ingawa navyo ni majanga lakini, afadhali mitego yao kidogo ni negotiable).

Wengi wao huwatongozi ila watakutongoza wenyewe! Kundi risky zaidi ni la wamama wa nyumbani au wanawake ambao hawajasoma (I am sorry to say this)!

Unaweza kukuta mme wake ana fedha na kila kitu, lakini kwa sababu jamaa hajaajiriwa serikalini au kwenye taasisi au kampuni (kumbuka tulio wengi tunatamani kujiajiri!), mke wake anamchukulia kama mtu fulani ambaye hana hadhi nzuri ya kuwa mme.

Sumaku kali zaidi ambazo huwavuta wamama wa aina hiyo, ni wale vijana au watu wazima walioajiriwa, wanaotoka asubuhi, wamepiga tai, kiatu kiwi full time, wengine suti, halafu ni watu wa misheni town (wenye magari sijui inakuwaje, mtatuambia), (haata kama kazi zao ni kufagia au kuzunguka na mafile maofisini)!

Wanawake wa aina hiyo huanza kwanza kwa kutafuta ukaribu na mazoea na watu wa aina hiyo kwa udi na uvumba katika harakati za kufanikisha azma zao.

Licha ya uzoefu nilioushuhudia juu ya wamama hapo juu, hivi karibuni nimekumbana na majanga kadhaa yakihusisha wanawake walioolewa kwa ujumla, wengi wao wanaoonekana ni sex hungry moms au gold diggers. Nawapa tu mifano michache kuthibitisha haya ninayoyasema:

1. Mie nakaa mwenyewe mmama from no where akaanza kuniletea chakula (niliogopa sana), akaniambia naona unapata shida unakaa mwenyewe na wewe ni mwanaume huwezi kujipikia.

Siku ya kwanza sikukila (nilikiweka kwenye chombo changu nikampa sahani, baadaye nilikimwaga), maana niliona kama labda kaweka kitu. Siku nyingine akaleta na kuniambia tule wote! Hooooooooo, nikamwambia tutakula wapi?

Akasema kwako, usiogope mme wangu amesafiri! Sasa tukiwa tumekaa, alikuwa amejifunga kanga moja, anatawanya miguu na kuirudisha, nilijikaza sikufanya chochote, vituko anavyonifanyia mpaka sasa ni siri yangu.

2. Mwingine alipata namba yangu kupitia simu ya mmewe ambaye ni rafiki yangu, kila mara hasa usiku ana msgs kama hizi: "shem habari, nahisi wewe ni mcheshi, huna kiburi wala makuu, tena unachat na mimi bila shida, nina hamu siku moja nije Dar nikufahamu, au sio shem?"

Mara nyingi sijibu, akiona hivyo "shem nijibu basi, usiogope maana mme wangu hayupo sasa hivi". Vituko vyake siku hizi havisimuliki!

3. Mwingine, kutwa kulalamika kuhusu maisha yake na ndoa "Yaani shem, we acha tu, maisha magumu, rafiki yako naye kipato hakieleweki na mie sikusoma wala kubahatika kuajiriwa, maisha yanaenda tu kwa nguvu za Mungu, ningekuwa sio mvumilivu sidhani kama hii ndoa ingekwepo, shem unakaa wapi nije kukusalimia au una mke?" Mie najiuliza hivi wakati wa kufunga ndoa hakuapa kuwa na mmewe kwa shida na raha?

4. Mwingine ni mama jirani yangu, tena ni mtu anayejiweza, siku moja akaniita anaomba nimsaidie kurudishia taa imeungua, nilivyopanda juu ya meza alinipa taa - tube light mbovu, kuiweka haiwaki, akaniambia naomba simu yako nimpigie kijana fulani wa mtaani aniletee taa nyingine, nilivyompa kumbe alijipigia, halafiu akaniambia hapatikani, acha.

Tangu awe na namba yangu, utaona mida ya saa 4 usiku anatuma msgs kama vile "Mambo, Jumamosi hii twende tukatembee" au "Nina kitu nataka kukuambia ila tunahitaji faragha", Huwa namjibu, nina mambo mengi, labda siku nyingine.

Ni majanga mengi sana nakutana nayo yanayohusisha akina mama walioolewa. Mliooa kuweni makini na wake zenu, wengi ni washenzi sana na wana sophisticated means za kuwaengage wanaume wengine kwenye mahusaiano na wao! Pia najiuliza tatizo lao la kuzoeana na wanaume wengine na kujifanya wana hamu ya kuchat au kuwa karibu nao na sio waume zao ni nini?

NB: Nawaasa vijana kukaa mbali na mke wa mtu, maana mke wa mtu ni zigo la madawa ya kulevya.
 
yaan mshenzi namba moja ni mwanaume tena anaejua huyu ni mke wa mtu halafu unamfanya,katika ubaya wa mwanadam anaotenda moja wapo ni huu.nahisi wewe utakuwa ama ulishatembea na mke wa mtu hakika ni dhambi ya aina yake,na ili isamehewe unatakiwa uombe radhi kwa uliemtenda ndio uende mbele za MUNGU vinginevyo msamaha hakuna.wasilaumiwe wa mama kwa hili,bali ni WANAUME ndio wanaostahili lawama.
 
Wanawake wengi walioolewa wamekuwa wepesi (achilia mbali vidada ambavyo havijaolewa, ingawa navyo ni majanga lakini, afadhali mitego yao kidogo ni negotiable).

Wengi wao huwatongozi ila watakutongoza wenyewe! Kundi risky zaidi ni la wamama wa nyumbani au wanawake ambao hawajasoma (I am sorry to say this)!

Unaweza kukuta mme wake ana fedha na kila kitu, lakini kwa sababu jamaa hajaajiriwa serikalini au kwenye taasisi au kampuni (kumbuka tulio wengi tunatamani kujiajiri!), mke wake anamchukulia kama mtu fulani ambaye hana hadhi nzuri ya kuwa mme.

Sumaku kali zaidi ambazo huwavuta wamama wa aina hiyo, ni wale vijana au watu wazima walioajiriwa, wanaotoka asubuhi, wamepiga tai, kiatu kiwi full time, wengine suti, halafu ni watu wa misheni town (wenye magari sijui inakuwaje, mtatuambia), (haata kama kazi zao ni kufagia au kuzunguka na mafile maofisini)!

Wanawake wa aina hiyo huanza kwanza kwa kutafuta ukaribu na mazoea na watu wa aina hiyo kwa udi na uvumba katika harakati za kufanikisha azma zao.

Licha ya uzoefu nilioushuhudia juu ya wamama hapo juu, hivi karibuni nimekumbana na majanga kadhaa yakihusisha wanawake walioolewa kwa ujumla, wengi wao wanaoonekana ni sex hungry moms au gold diggers. Nawapa tu mifano michache kuthibitisha haya ninayoyasema:

1. Mie nakaa mwenyewe mmama from no where akaanza kuniletea chakula (niliogopa sana), akaniambia naona unapata shida unakaa mwenyewe na wewe ni mwanaume huwezi kujipikia.

Siku ya kwanza sikukila (nilikiweka kwenye chombo changu nikampa sahani, baadaye nilikimwaga), maana niliona kama labda kaweka kitu. Siku nyingine akaleta na kuniambia tule wote! Hooooooooo, nikamwambia tutakula wapi?

Akasema kwako, usiogope mme wangu amesafiri! Sasa tukiwa tumekaa, alikuwa amejifunga kanga moja, anatawanya miguu na kuirudisha, nilijikaza sikufanya chochote, vituko anavyonifanyia mpaka sasa ni siri yangu.

2. Mwingine alipata namba yangu kupitia simu ya mmewe ambaye ni rafiki yangu, kila mara hasa usiku ana msgs kama hizi: "shem habari, nahisi wewe ni mcheshi, huna kiburi wala makuu, tena unachat na mimi bila shida, nina hamu siku moja nije Dar nikufahamu, au sio shem?"

Mara nyingi sijibu, akiona hivyo "shem nijibu basi, usiogope maana mme wangu hayupo sasa hivi". Vituko vyake siku hizi havisimuliki!

3. Mwingine, kutwa kulalamika kuhusu maisha yake na ndoa "Yaani shem, we acha tu, maisha magumu, rafiki yako naye kipato hakieleweki na mie sikusoma wala kubahatika kuajiriwa, maisha yanaenda tu kwa nguvu za Mungu, ningekuwa sio mvumilivu sidhani kama hii ndoa ingekwepo, shem unakaa wapi nije kukusalimia au una mke?" Mie najiuliza hivi wakati wa kufunga ndoa hakuapa kuwa na mmewe kwa shida na raha?

4. Mwingine ni mama jirani yangu, tena ni mtu anayejiweza, siku moja akaniita anaomba nimsaidie kurudishia taa imeungua, nilivyopanda juu ya meza alinipa taa - tube light mbovu, kuiweka haiwaki, akaniambia naomba simu yako nimpigie kijana fulani wa mtaani aniletee taa nyingine, nilivyompa kumbe alijipigia, halafiu akaniambia hapatikani, acha.

Tangu awe na namba yangu, utaona mida ya saa 4 usiku anatuma msgs kama vile "Mambo, Jumamosi hii twende tukatembee" au "Nina kitu nataka kukuambia ila tunahitaji faragha", Huwa namjibu, nina mambo mengi, labda siku nyingine.

Ni majanga mengi sana nakutana nayo yanayohusisha akina mama walioolewa. Mliooa kuweni makini na wake zenu, wengi ni washenzi sana na wana sophisticated means za kuwaengage wanaume wengine kwenye mahusaiano na wao! Pia najiuliza tatizo lao la kuzoeana na wanaume wengine na kujifanya wana hamu ya kuchat au kuwa karibu nao na sio waume zao ni nini?

NB: Nawaasa vijana kukaa mbali na mke wa mtu, maana mke wa mtu ni zigo la madawa ya kulevya.
mkuu samahani umepanga nyumba sehemu gani?mkoa gani?
 
Back
Top Bottom