Wanawake wengi walioolewa ni wepesi

Wanawake wengi walioolewa ni wepesi

Jamaa litakuwa hendsam sana. yani wake za marafiki zake wanalishobokea.... hata ambao hawajawahi kuliona!!!! Shigongo kakuza şana vipaji vya utunzi.

Umeona eeeh! shogongo @ work, lol
 
Sio mke wa mtu tu
Hat kuchepuka kwenye ndoa na vibinti nooo

Lakini we sio kibinti, sio!! Coz hata vibinti vya chuo au shule mie sitaki...!
"Watching you closely ICHANA..."
 
Last edited by a moderator:
Lakini we sio kibinti, sio!! Coz hata vibinti vya chuo au shule mie sitaki...!
"Watching you closely ICHANA..."

Watch me closely so that u can know me
Cos utaishiwa pose za kuniambia hayo

Weee tema mate nimesoma vitabu vya kabanga ampiga mkoloni
 
Last edited by a moderator:
Watch me closely so that u can know me
Cos utaishiwa pose za kuniambia hayo

Weee tema mate nimesoma vitabu vya kabanga ampiga mkoloni

Still, watching you girl..!
I don't wanna know you coz that'd make my task too difficult...
...Bado mwanachuo wewe?
 
wana mahitaji tu kama wengine, kila binadamu huwa anatamani kitu kipya, uenda wanahisia nzito kwani wengi hawatosheki na dushelee, yani kimoja tu mtu anageuka kule. Wengine wana pepo tu ya kungoneka hata ukimdonoa atatafuta mwingi e tu.
Wengine huwa wanajaribu kuona kama nao wamo wanaweza kutogoza au kushawishi!!, ikiwa wataachwa waweza kupata mbadala? hivyo huenda si kwamba wanakutaka ila wanajaribu kuona kama bado wanaweza kushawishi.
 
Watch me closely so that u can know me
Cos utaishiwa pose za kuniambia hayo

Weee tema mate nimesoma vitabu vya kabanga ampiga mkoloni

Acha kutisha vijana we mchuchu. Hebu kuja pande hii nikuambie kitu kitamu.
 
hata wababa mimi nshindwa kuelewa hizi ndoa hii tatizo ni nini

wababa wanataka mabinti wabichiiii, yaani wanakodoa barabarani

haya wamama nao wanataka wapenzi wetu uwiiiii
 
kweli ni wengi ni rahisi na watamu sana lakin ole wako
 
Still, watching you girl..!
I don't wanna know you coz that'd make my task too difficult...
...Bado mwanachuo wewe?


Ha ha ha so easy like this unagive up
Chuo nakisikia tu..

Kwa hiyo ningekuwa mwanachuo what next
 
Acha kutisha vijana we mchuchu. Hebu kuja pande hii nikuambie kitu kitamu.

Mbona unataka nikutoe berenge wewe babu...
Ukiniona speed yako inatekenya unaona uzee mwisho sio msata bala segera ....
Ntakutoa nduki utoe mdomo nje kama mbwa
 
Ni wepesi kwa sababu wameshazoea madushelele kibao hivyo hawaoni jipya. Anyway wanajaribu kupata ladha tofautitofauti!
 
Mpaka mkeo achepuke bc ujue humfikishi. Anakula vya mafuta lazima awe na ashki. Vijana ndio suluhisho la mambo yote.
dungagunga@karamuyashetani.com

Wanaume mkioa mnajisahau ktk kutoa ilee shughli iliyotuweka p1. Wkt ule malavilavi,makiss,mahud kibaaao wacha mazawadi,care, wky ulee wa kurusha shilingi kibubuni unasuguliwa na kusokotwaa kiasi ambacho unasema yeeees mtu si ndo huyuu na vile wanawake kupenda kunakuja tratibuuu na huoo mkazo naokazwaa ndio waongeza sasa umenioa umenigeuza nusu dada yko na nikikuomba mie unadai mii ma..... ndio wanaoombaga sasa mie nala vizuri haya mafutamafuta ya koriee wacha hizi picha za whatsApp nk mi haaamu ndio hiyooo we ukicha ni dk 2 aaa nimechoka mie leo nilikuwa na mizunguko mingi embu lala usinichoshe. Mi nifanyaje hapoo????
 
Back
Top Bottom