Ukweli kutoka moyoni... Ni aheri mara 100 mabinti zangu wasagane kuliko toto langu la kike lifirw.e. Naapa...
Ni heri mara eflu nimkute wife anasagwa kuliko nimkute anamegwa na mwanaume mwingine. Hapa kuna hatari msiba ukatokea, wa kwangu, wa wife au wa mgegedaji. Mungu apitishe mbali.
Namshukuru Mungu nimefanikiwa kubadili mwenendo wa thread. Nimekuja JF kuleta amani, siyo vita. Nimesema ODM.
Hahaha mtoto mshakunaku wewe lol. Haya Heaven on earth twenzetu Katavi kwa Prime Minister wetu.
Teh teh vya babu vitamu......
Umeelewa vibaya dada. Hatunung'uniki.Tunawaambia ukweli.Mmezidi kuwa bandia na wachafu
Hahahah vinini weye mrembo. Ntakutia bakora ujue.
Vitamu tamu........ndo navitaka mie
tatizo customer service mbovu wakati maintanance cost is high!
We customers deserve the best!
si uende kwa wasioa bandia.
kucha wabandike wao kuneng'eneka uneng'eneke wewe
ktk wanawake ninaowakubali ni wahaya,yaani wapo natural ile mbayaaaaa,niwatamu kuliko hata hivi visistadu vya chuoni,bao moja tu vinahema kama vimetoka mererani.
shoga angu WANAUME wanapungua sana tena kwa spidi ya ajabu
Ngoja niwatafute mateacher waniambie speed ya light ni ngapi,tukii double ndio tutapata speed ya wanaume kupungua,halafu watoto wa kiume wanung'unikaji na wasiojua majukumu yao wanaongezeka kwa kasi hiyo hiyo!
Tabu tupu
Umesema Truu kwani kwa mtindo huu wa jamaa'angu ata kuvaa nguo siyo natural kwa vile hatukuzaliwa nazo.Kingine ajue kuna kitu kinaitwa Value Added Service(VAS) au kwa lugha nyingine huduma ya ziada ambacho ndo kinachofanywa na dada hawa.Asili ya simu kuanza ilikuwa mawasiliano ya mdomo (sauti) hadi kufikia leo hii mangapi yameongezwa mfano calculator,Sms,Tochi nk nazo tuzikatae kwa vile ni Robot.
Kha mwanangu punguza makali kidogo.Huyo ana stress!!! He is just a broke ass!!!! Badala ya kutafuta hela kugharamia warembo, analazimisha wawe natural awapake majasho yake na kukopa papuchi!!! Wanawake warembo na classy watabaki Shemeji kama yeye maskini!!!
Ndio watakoma MMU,maana thread kila uchao! Sijui hawajui wanakeraje?sipati picha mwanaume wa kunung'unika anapokutana na mwanamke bandia...lol...
sijui kitatokea nini hapo
Nachural atawaweza? atuachie sisi tu......maana kila kitu ni mwendo wa alovera na GNLD products......kichupa kidogo kinafika hadi laki kumi.
Kwa nini gharama kubwa kwa fake wakati original zipo kwa cheap...nyie fake nyie kutokana na ufake wenu hata mtu kakupa mimba ndio mnatuzalia mashoga scientific proved hiyo....hakuna mtu asiependa natural sema nyie wabaya ndio mnaojipara kama miti krismasi mbwa nyie
asanteni kwa kunisikiliza ndugu wanawake
Uzuri unazaliwanao ila urembo na usafi wa mwili unajipa mwenyewe.Misura ya bandia,mikucha ya bandia,minywele ya bandia na hata 'ikulu' za bandia. Halafu kwa kudengua motoooooo.Na kutembea kwa madaha ndio wenyewe. Hawana tofauti na maroboti....wanakereketa sana