daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 873
keiyaa Lekakenyi Ole Saidum!Labda wanadekezwa sana!!!
unakumbuka kitabu cha "Is It Possible cha Lerionka Kariankei Ole Sururu"?
keiyaa Lekakenyi Ole Saidum!Labda wanadekezwa sana!!!
Wewe ndiwe bandiaAlikwambia wewe......
Sawa.Kwa hapa punguzeni mambo ya bandia angalau.Tunawapenda sana.Lakini, wengine wanakera sanaukitaka kumkosoa mtu 'The Choosen' muonyeshe kibaya anachofanya na kumuelekeza afanye nini. Si hivyo ulivyofanya wewe! utadhani uko vitani! loh!
Wewe ndiwe bandia
keiyaa Lekakenyi Ole Saidum!
unakumbuka kitabu cha "Is It Possible cha Lerionka Kariankei Ole Sururu"?
Wewe ndio bure kabisa.Ulikuwa unajirengesha kwa Lecturer halafu ukakimbilia humu kumharibia jina eti kuwa anataka kukubaka.Uliishia wapi? Acha uongo usio na maana maishani mwako.Mbona alivyokupata hujaja kusema tena hapa JF?Mmejigundulia vi thread vyakuponda wanawake vinashadadiwa basi kila mara o nyonzo. ....Kuweni wabunifu basi kkidogo.Ndo maana hata kupiga jalaba linawashinda sasa hv!!!
Umeguswa kweli naona. Bandia hadi ikulu!? Kweli wewe kiboko
kuneng'eneka lazima kwakua yeye ndo USER.
Full majanga!
Watoto wa kiume siku hizi kwa kunung'unika! Mpaka wanasikitisha.
Sasa kwanini mringie uroboti?
Wanawake ndio wameshakwisha.Yamebaki maroboti tushoga angu WANAUME wanapungua sana tena kwa spidi ya ajabu
Nani analalamika? Mimi nasema na wala sialalamikisasa kwanini ulalamikie Uroboti wetu.....
Wewe ndio bure kabisa.Ulikuwa unajirengesha kwa Lecturer halafu ukakimbilia humu kumharibia jina eti kuwa anataka kukubaka.Uliishia wapi? Acha uongo usio na maana maishani mwako.Mbona alivyokupata hujaja kusema tena hapa JF?
Nani analalamika? Mimi nasema na wala sialalamiki
Wanawake ndio wameshakwisha.Yamebaki maroboti tu