miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Nawe pia roboti?
me natural ila nataka nianze kuwa bandia wafanyakazi wezangu wananiambia sijipendina me mbahili sana eti uchagga umenitawala.....
Nawe pia roboti?
Najua una uhakika wa pesa za Lecturer.Watu tuna ajira zetu dogo
tafuta ela kijana kama uwezo wa kugharamia hizo vitu vya bandia waachie wanaoweza
sio lazima kila mtu aanzishe thread kama huna jipya soma mawazo ya wenzako PERIOD
Najua una uhakika wa pesa za Lecturer.Watu tuna ajira zetu dogo
Topaz inamshinda.......sasa ndo aghalamie hao bandia???atawaweza??
Maisha yakuishi kwa mashemeji bwana!!!!
Topaz inamshinda.......sasa ndo aghalamie hao bandia???atawaweza??
Maisha yakuishi kwa mashemeji bwana!!!!
me natural ila nataka nianze kuwa bandia wafanyakazi wezangu wananiambia sijipendina me mbahili sana eti uchagga umenitawala.....
halafu hata kunyoa shoga kuna namna ya kunyoa kuna kunyoa ki mia tano na kunyoa kistylish....
akiogopa gharama kwenye bandia anakutana nazo kwingine
ktk wanawake ninaowakubali ni wahaya,yaani wapo natural ile mbayaaaaa,niwatamu kuliko hata hivi visistadu vya chuoni,bao moja tu vinahema kama vimetoka mererani.
ktk wanawake ninaowakubali ni wahaya,yaani wapo natural ile mbayaaaaa,niwatamu kuliko hata hivi visistadu vya chuoni,bao moja tu vinahema kama vimetoka mererani.
Sasa ndo ataweza????......Atanunua Laser ya shs 50 ajipalue nayo
Khaaa na ww na mamisemo yako eti kupalamiwa!!!!? hahahaha au ulimaanisha jamaa wana m 0713?Kupalamiwa nayo ajira.....
Wahaya vyuoni hawapo???je hakuna masistaduu wa kihaya......kwahyo hao wahaya wanahimil mabao
naona vyuoni kuna wazaramo tu....wahaya hawajafika vyuoni ati
hahaaaa Pesa kazi yake matumizi.......muanzisha thread aache kuneng'eneka tu
misura ya bandia,mikucha ya bandia,minywele ya bandia na hata 'ikulu' za bandia. Halafu kwa kudengua motoooooo.na kutembea kwa madaha ndio wenyewe. Hawana tofauti na maroboti....wanakereketa sana