Wanawake wengi ni bandia...

Wanawake wengi ni bandia...

Status
Not open for further replies.
Ni kweli kunatofauti Kati ya uzuri na kuwa mrembo...karibu kwenye ulimwengu wa urembo

asante mpenzi, nadhani da way am look sex than nikijiongeza !!!!!!!!!! kesho naenda kufanya kitu kimoja nione kama nitazidi kupendeza
 
Kwa nini gharama kubwa kwa fake wakati original zipo kwa cheap...nyie fake nyie kutokana na ufake wenu hata mtu kakupa mimba ndio mnatuzalia mashoga scientific proved hiyo....hakuna mtu asiependa natural sema nyie wabaya ndio mnaojipara kama miti krismasi mbwa nyie

asanteni kwa kunisikiliza ndugu wanawake
Kiongozi punguza ukali wa maneno hakuna haja ya kufikia hatua ya kutukana.

Kubali ukatae mwanamke mzuri akichanganya na urembo kidogo anakuwa ni zaidi ya Cleopatra.
 
siku zote machaguo yangu ni wale wenye uzuri wa kipekee wa natural..........
 
Kupinga au kuzuia urembo kwa wanawake ni sawa na akili za mwendawazimu.

Urembo ulikuwepo tangu enzi za akina Cleopatra na vizazi kwa vizazi kwa wakati huo sembuse karine hizi ambazo dunia imegeuka kuwa kijiji? Acheni hizo jamani
 
asante mpenzi, nadhani da way am look sex than nikijiongeza !!!!!!!!!! kesho naenda kufanya kitu kimoja nione kama nitazidi kupendeza
nenda kawafanyie kitu cha Natural extension na Hand Shellac Gel...wakikuona ni lazima wajikwae kwa mshangao.
Kwani uzuri unazaliwanao ila urembo unajipa mwenyewe.
 
sijaelewa uliposema nimekimbia umande!!!haya matusi yangu utayazoea tuu kama mimi nilivyozoea kupishana na wanawake waliojitinda nyusi mpaka sugu zimewaota...mikucha mirefu kama kwao kuna washing machine kumbe katoka mwananyamala nyumba ya udongo,mikope utafikiri brash ya choo..mnaoweka eyelid bila sababu nakuona leo macho meupe nakupenda kumbe ukivua macho mekundu kama mla unga,wachafu midomo kila saa kula big g kutoa harufu na kwenda kukwangua meno daily...!sauti mnazibana kama watoto wa bundi...my gosh nyingi kama umesoma tanganyika schools kumbe umesoma hapo ma.takoni mwa mtaa wenu...wewe kuhudumia ni nini unavyojua!?wanawake wangapi wana hela nyingi sana na wako natural...natural si kuwa mchafu na wala si kuwa nyuma ya wakati mbwa wewe!kwa kifupi na kwa kiswahili ni HALISI NI KUTOKUWA FAKE...kama mzuri kwa nini kujibandika minyusi,ya nini kujipaka foundation nusu inch kama una rangi nzuri!!kama unakiuno kizuri kwa nini utuonyeshe micheni yako kiunoni afu ofisini kama sio umalaya na kutokujiamini unavutia watu kwa nguvu mbwa nyie...nawajua wanawake wengi sana wazuri wapo natural...kama wewe unaonekana ni chokoraa wa kutupwa...
asante kwa kunisikiliza ndugu mwanamke

acha tujipare hela ina ruhusu na ipo ss ww unakoma eti unataka natural kumbe hela huna ya kuhudumia halafu unaleta matusi yako hapa ya ajabu.ww huna hela komaa na huyo natural wako na akimpata mwenye pesa unaachwa hapo unashangaa shangaa tu halafu nahis ulikimbia umande ww eti wanawake wanazaa mashoga kwa hiyo hizo mimba wanajibebesha wenyewe?
 
Ni kweli kabisa kuwa naturalista ni vyema BUT si kweli wanawake wanaojiremba kwa vitu kama weavings,wigs,make-ups na arfificial nails ni FAKE(yeah...u got that part right)
hakuna kitu au kiungo chenye uhalisia kama moyo.....moyo ukiwa REAL...personality ya mtu huwa revealed hata awe amevaa kama barbie doll na amebleach skin yake.........Mwanamke ni kujipamba(why not?)
Pia kuna watu ambao they are so natural but daaaaaamn They are soooo fake.....Dreadlocks,kipara,nappy hair they are just FASHION STATEMENTS na hazisemi kuwa this is real or not.....Binafsi I have a natural look most of the times but kuna days i wake up and i'm like..."Today,i wanna be a rock sstar"and it works DOING WHAT I FEEL LIKE DOING,DOING ME...and thats REAL............To all my divas....LIVE YOUR LIFE!.
Ntakasi.
 
unajua mi naelewa urembo ni nini...urembo co ku-fake urembo co ku-over do vitu ndugu yangu...sasa huu urembo unakuwa ulimbo...wanawake wengi ni fake sana mfano ukiwapukutisha vile fake walivyo navyo juu ya miili yao ni noma...nakupa from my xperience ..nishawaacha wanawake watatu warembo sana kwa road ila kila day anavyozidi kukaa na mimi akija kwangu anazidi kujiachia na kunizoea so anapunguza fake zake kuanzia tabia mpaka mapambo...si unajua akija kwangu anasaula...siku nyingine MIKOPE YAKE INATOKA KITANDANI,mara hivi mara vile mara unaanza kumzoea na kumchoka kwa kasi ya ajabu unapiga chini...siku nyingine mara ajisahau aongee sauti yake ile halisi siku nyingine apotray tabia zake za kiswahili swahili afu baadae anajishtukia anajirudisha fasta...n so n so...u get pic wat i mean..

asante kwa kunisikiliza ndugu mwanamke

Kiongozi punguza ukali wa maneno hakuna haja ya kufikia hatua ya kutukana.

Kubali ukatae mwanamke mzuri akichanganya na urembo kidogo anakuwa ni zaidi ya Cleopatra.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom