Wanawake wengi ni bandia...

Wanawake wengi ni bandia...

Status
Not open for further replies.
km hautaki wa bandia tafuta unaowataka usijisemeleshe tu hapo wakati unaogopa gharama
 
Kwa nini gharama kubwa kwa fake wakati original zipo kwa cheap...nyie fake nyie kutokana na ufake wenu hata mtu kakupa mimba ndio mnatuzalia mashoga scientific proved hiyo....hakuna mtu asiependa natural sema nyie wabaya ndio mnaojipara kama miti krismasi mbwa nyie

asanteni kwa kunisikiliza ndugu wanawake

km hautaki wa bandia tafuta unaowataka usijisemeleshe tu hapo wakati unaogopa gharama
 
Misura ya bandia,mikucha ya bandia,minywele ya bandia na hata 'ikulu' za bandia. Halafu kwa kudengua motoooooo.Na kutembea kwa madaha ndio wenyewe. Hawana tofauti na maroboti....wanakereketa sana
kama unakereka sana kajichimbie kaburi usituone tena.
 
Hajalia wewe amesema ukweli tuu hapo sasa kama mmeoza tusiwaambie au!!kama wewe usipooga masaa 8 tuu inaonekana unanuka mbaya!!!!kopo la chooni wewe
mwanaume halii lii wewe km vip nenda kwa hao natural
kwani kutwa kupepesa mijicho yako kuyatima hiyo miroboti nyooooooooooooooooooo
nyege zikikushika unakimbilia kwa hiyo miroboti, na miguno juuu kuwa umefikishwa unopataka
mixiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Kwa nini gharama kubwa kwa fake wakati original zipo kwa cheap...nyie fake nyie kutokana na ufake wenu hata mtu kakupa mimba ndio mnatuzalia mashoga scientific proved hiyo....hakuna mtu asiependa natural sema nyie wabaya ndio mnaojipara kama miti krismasi mbwa nyie

asanteni kwa kunisikiliza ndugu wanawake

Reason wisely na sio kutukana ka huwezi kaa pembeni....

na ka ye ni Mbwa ya nini kupoteza muda wako kubishana na Mbwa.....
 
Reason wisely na sio kutukana ka huwezi kaa pembeni....

na ka ye ni Mbwa ya nini kupoteza muda wako kubishana na Mbwa.....

Sijui hawa watoto hela za internet wanaiba wapi siku hizi wanakuja kutukana huku.........mbaya sana.
 
Sijui hawa watoto hela za internet wanaiba wapi siku hizi wanakuja kutukana huku.........mbaya sana.

sie tuko page 5 hakuna aloshusha tusi katoka huko atokako huyo....hizi extreme hizi

zifutwe tu hakiya mama
 
Sijui hawa watoto hela za internet wanaiba wapi siku hizi wanakuja kutukana huku.........mbaya sana.

Wanaishi kwa dada zao.....pc za mashemeji zao hizo si bure.
Utakuta watu wazima kabisaa lakin kulelewa kwa mashemeji ubongo unasinyaa
 
haaaaaaaa Laki 10 mchezo daktari wangu.......

Sio mchezo my dear.........Yeye mwenyewe hajawai kuishika alafu anakuja kutukana watu wazima huku.....kwanza hata hiyo pesa ya kwenda internet atakua kabana chenji ya sokoni......ndio vijana wa siku hizi walivyo msamee tu.
 
Wanaishi kwa dada zao.....pc za mashemeji zao hizo si bure.
Utakuta watu wazima kabisaa lakin kulelewa kwa mashemeji ubongo unasinyaa

Kula like.......shemeji atakua job saa hizi.....hiyo ni chenji amebana akapitia internet café .....atakua alitumwa sokoni na dada ndo akabania chenji....we mwache aendelee kupoteza mda hapo café alafu shemeji akute chakula bado kama wote hawatarudishwa kijijini.
 
MEN STOP KIDDING YOUR SELF GUYS!!....................

I think we are too artificial because men chose to wear makeups as ladies, and now ladies do not want to have the same look, so we opted for an exceptional make up style.
Mkiacha kujiremba tutarudi kwenye unatural but kama mkiendelea ndo kabisaa mtatuskia kwenye bomba,,,,,,,,,,,

HAHAHAHAHAHAHHA........WEEE ULIYE TUU UCHEKE UNA MBAVU?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom