Wanawake wengi ni bandia...

Wanawake wengi ni bandia...

Status
Not open for further replies.
hii nchi ya kidemokrasia bana
hebu waache watu watumie rasilimali zao
 
Mkuu bila shaka kuna kitu wamekufanya mbaya, hayo maneno yako inaonekana kama vile umeathirika kisaikolojia, hivi hujui kama wanawake ndio pambo la dunia ?. Hivi hujui kwamba kujiremba kwao ndio kunatufanya sisi tuvutike zaidi kwao na kujiskia raha ?. Nina mashaka sana na wewe, itakuwa unawaogopa sana kuapproach wanawake warembo
Umeniwahi mkuu,nikitaka kumwambia the same
 
Bandsia inakera hata kutazama
Pole sana...kwa taharifa yako hata hao unaowaona wako natural wengi wao wanatamani kuwa warembo ila wanashindwa kuwa hivyo kutokana na kazi wanazofanya au sheria za dini wanazofuata.

Pia kumbuka urembo ni gharama.
 
Naweka kituo Morocco kukusubiri twende wote kwenye mkesha. Mke mwema humsaidia mmewe. Mme mwema humpenda na kumwongoza mkewe kwa heshima.

Nipigie makofi matatu, nimeondoa hasira zako na kukujaza furaha moyoni mwako. Ndio kazi yangu kwako.

leo natoka job fastaaa.utanikuta pale kwa siku zote.......
 
Mmh we nawe! Sema tu sizitaki mbichi hizi tutakuelewa sio mambo ya ufake na umbandia.
Hujui we are in a modern age? We are not in the dark age no bushmen exists.
 
Sawa.Kwa hapa punguzeni mambo ya bandia angalau.Tunawapenda sana.Lakini, wengine wanakera sana
Kwa hapa nafikiri umeongea point kidogo. Siyo wanawake wote wanajiremba kama wacheza show,bali ni baadhi tu tena wengi wao wanaopenda kujiremba mpaka kupitiliza ni kuku wa kienyeji(wadada wa uswazi) lakini kuku wa kizungu(wadada au wamama familia bora) wanajiremba kimpangilio kiasi kwamba ukikutananae ni lazima utageuka tu.
 
Ushatiwa bakora matak.oni? Kama bado basi ujue zinauma sana.

hahahha....hahahha....nimeisoma mara tatu ndio nimeelewa.....hizi shule za kayumba hizi.....akili inakuwa imedumaa sana kuelewa mambo. Aisee
 
Ngoja niwatafute mateacher waniambie speed ya light ni ngapi,tukii double ndio tutapata speed ya wanaume kupungua,halafu watoto wa kiume wanung'unikaji na wasiojua majukumu yao wanaongezeka kwa kasi hiyo hiyo!
Tabu tupu

Tabu shoga angu..mie nachoka akili na nywele kabisaa
 
me natural ila nataka nianze kuwa bandia wafanyakazi wezangu wananiambia sijipendina me mbahili sana eti uchagga umenitawala.....
Ni kweli kunatofauti Kati ya uzuri na kuwa mrembo...karibu kwenye ulimwengu wa urembo
 
avatar132738_9.gif


Amesahau na Avatar za bandia!

plus ID za bandiaa
 
Kucha bandia.kope bandia.ngozi bandia.macho bandia.nywele bandia.meno bandia.lips bandia.masikio bandia.------ bandia.matiti bandia.kweli twamchezea mungu.
Lakini siyo wanawake wote wanaweka ubandia kila kitu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom