Wanawake Wengi Miaka Hii wana matumbo makubwa-why?

mh, haya asante mwaya
madawa mengi sana hasa haya ya uzazi wa mpango??
mnaogopa mimba eee eti hamtaki mambo ya blee siku 4 siku 5 na midam kibaoo nyie mwataka siku 1 au 2tena kwavijitone tu vya dam.
bila kujiuliza dam zingine zinakwenda wapi??
acheni miili ifanye kazi vizuri bana na taka mwili zote zitoke sasa mnavyozizuia ndio hizo zinzkimbiliz sehem ndizo sizo.
teh teh teh teh mnahaha kutafuta mchawi eeee.kujiloga mjiloge wenyewe why mnahaha kutafuta
 
Kumbe ulikuwa umekaa nao baa. Kwa nini hukuwauliza wao wenyewe unakuja kutujazia inzi tu humu jf.

Join Date : 12th May 2013

Posts : 490
Rep Power : 7837
Likes Received 71

Likes Given 15


kumbe bado mchanga humu jf
 
Dawa za kuzuia ujauzito ndiyo chanzo hakuna kingine, wanawake nina dawa ya asili ya kuzuia ujauzito isiyo na madhara kabisa anayehitaji ani-PM.
 
Kama ni wanawake wa maeneo ya Sinza na viunga vyake, vitambi vyao mara nyingi vinasababishwa na kitimoto na bia.
 
Kama ni wanawake wa maeneo
ya Sinza na viunga vyake, vitambi vyao mara nyingi vinasababishwa na
kitimoto na bia.

Mkuu mbona mi nakula nyama na kitimoto na tumbo langu lipo flat? we muongo kama Muhongo
 
Ukitaka kujua kwa nini wana vitambi nenda pale kona bar uone wanavofakamia michemsho na viroba vya zanzi....
 
Nimekuwa Baa moja jioni hii nikiangalia mechi ya Aston Villa na Man U, wanawake wote hapa wana matumbo makubwa, hakuna hata mmoja mwenye tumbo dogo yaani, nimejiuliza sana nikakumbuka nije nijenge hoja hii hapa jamvini


  1. je, Huenda ni pomb?
  2. au chips?
  3. .wapi Mzizimkavu?

Mkuu hii mada ilisha jadiliwa hapa kitambo, na katokana na ushahidi mbalinbali uliowasilishwa na wadau iligundulika UVAAJI WA SURUALI KWA WANAWAKE NDIO UNAOWATOA MATUMBO japowenyewe hawalikubali hilo.

https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=1571481
 
Nianze kwa kusema kuwa vitambi viko katika makundi 6:-

1. KITAMBI MVURUGO - Hiki kitambi kimekaa kama O kinapatikana kwa kula sana kitimoto

2. KITAMBI MCHUCHUMIO - Hiki kitambi kimekaa kama herufi D kinatokana na kula sana
michemsho na bia za ofa

3. KITAMBI MBONYEO - Akivua shati kitovu hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa, ila
akisimamishwa kazi kinaisha haraka sana.

4. KITAMBI MTEPETO - Ni kitambi cha wastani ambacho ukivaa nguo pana hakionekani. Hiki
kinasababishwa na kula mno vipolo

5. KITAMBI MFUMANIO - Hiki mtu anakuwa hana pesa ila kitambi ni kutokana na minyoo na
utapiamlo wa ukubwani

6. KITAMBI MTUNGUO - Hiki wanacho sana akina dada na wanawake, kina umbo la yai. Hiki
kwa "diet" hakitoki labda kwa maombi tu.

Je kitambi cha ndugu yako, partner wako, wewe mwenyewe au cha boss wako kiko kundi lipi??

Dah! Nimekukubali
 
Michemsho, kongoro, ulimi, paya, chipsi dume na jike, kuku wa wiki 6, nyama choma + bia au wine au whisky au konyagi lazima tumbo liumuke kama hamira.
 
Wengi hatufanyi kazi nzito siku hizi na mazoezi hakuna...na tunakula mno vyakula vyenye mafuta mengi ukilinganisha na zamani
 
Nianze kwa kusema kuwa vitambi viko katika makundi 6:-

1. KITAMBI MVURUGO - Hiki kitambi kimekaa kama O kinapatikana kwa kula sana kitimoto

2. KITAMBI MCHUCHUMIO - Hiki kitambi kimekaa kama herufi D kinatokana na kula sana
michemsho na bia za ofa

3. KITAMBI MBONYEO - Akivua shati kitovu hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa, ila
akisimamishwa kazi kinaisha haraka sana.

4. KITAMBI MTEPETO - Ni kitambi cha wastani ambacho ukivaa nguo pana hakionekani. Hiki
kinasababishwa na kula mno vipolo

5. KITAMBI MFUMANIO - Hiki mtu anakuwa hana pesa ila kitambi ni kutokana na minyoo na
utapiamlo wa ukubwani

6. KITAMBI MTUNGUO - Hiki wanacho sana akina dada na wanawake, kina umbo la yai. Hiki
kwa "diet" hakitoki labda kwa maombi tu.

Je kitambi cha ndugu yako, partner wako, wewe mwenyewe au cha boss wako kiko kundi lipi??

Hahaha metisha mkuu
 
Vyakula vya mafuta,chipsi yai especially,suruali za kubana tumbo na uzembe..upuka hvo hapo juu hutakuwa na ktambi...bt smtym maumbile,i eat a lot (naturals kw wingi) ,siendi gym bt my tummy is flat
 
Back
Top Bottom