Wanawake wengi hawana hela ya sikukuu

Wanawake wengi hawana hela ya sikukuu

Watapatikana hao hao wanawake wategemea mizinga akina sie tuliojizoelea kujitegemea kila kitu sana sana ntamuomba mwanaume aje mahali tukae pamoja tuu kwa kampani ila gharama kila mtu mfuko wake.
Raha sana kujitegemea husumbuliwi na pii wala poo

Kwahy kasinde ni miss independent, hongera, hawa miss dependents wanasumbua kweli

Demand za vidude vyao imeshuka wakati supply imeongezeka, cheki dau linavyoshuka, hawa wana normal demand, mizinga yao inafluctuate

Ila kuna wengine supply ya vidude vyao ipo chini, demand ipo juu, kwa hiyo mizinga yao ipo juu ikishuka inashuka kidogo

Ila wengine ni washkaji tu ile mazoea kwa sana, wanaonesha kuwa tayari for trade, haya yote attributed to xmas holiday
 
Hahahaa yani huyu hujamgundua,hapo kaombwa na kibaby chake utakuta laki tu anaona nyingiiiii,kuja kumuanika huku...
Watu wanaombwa magari wanatoa huyu si angetangaza mpaka CNN....

Thubutuu iwe laki,
Elfu 20 hiyo povu lamtoka,
Angeombwa laki na uhusiano angeuvunja, teh teh teh
 
Hahahaa yani huyu hujamgundua,hapo kaombwa na kibaby chake utakuta laki tu anaona nyingiiiii,kuja kumuanika huku...
Watu wanaombwa magari wanatoa huyu si angetangaza mpaka CNN....
Nadeal na multiple mizingas na zinakuja kwa rate ya juu hasa huu mwezi, wengine hatujatafutana mda mrefu lakini na wenyewe wamo

Specifically naongelea sikukuu, na hizi mizinga zinapigwa kwa gia tofauti tofauti
 
Mgirik mambo?? sikukuu utakua wapi?? naomba nikukampani mpaka mwakampya jamaaaaaaaaaaaaani siunajua ntakua bored teh
 
Last edited by a moderator:
Kwahy kasinde ni miss independent, hongera, hawa miss dependents wanasumbua kweli

Demand za vidude vyao imeshuka wakati supply imeongezeka, cheki dau linavyoshuka, hawa wana normal demand, mizinga yao inafluctuate

Ila kuna wengine supply ya vidude vyao ipo chini, demand ipo juu, kwa hiyo mizinga yao ipo juu ikishuka inashuka kidogo

Ila wengine ni washkaji tu ile mazoea kwa sana, wanaonesha kuwa tayari for trade, haya yote attributed to xmas holiday
Tatizo nyie ndo mnawaendekeza halafu hamuishi kulalama. Mkiwachunia wote watauza hata vocha wapate hela ya lace wig au pedicure na manicure.
Endeleeni kuwafuga ili nanyi mpate mtelezo wa kugonga vichwa.
Msimu huu wa sikukuu nimeingiza 1 million profit kwa ku supply nguo za watoto nimezinunua mahali kwa bei chini nimeweka cha juu kidogo tuu na mzigo umeisha. Utasikia wote tukiuza nguo nani atanunua.
Issue ni kujua kusoma alama za nyakati na kujua mahitaji ya wananchi baasi unaingiza hela kihalali.
Hapo Kasie ruksa kwenda Mombasa beach na kula sikukuu kwa afya yangu.
 
Tatizo nyie ndo mnawaendekeza halafu hamuishi kulalama. Mkiwachunia wote watauza hata vocha wapate hela ya lace wig au pedicure na manicure.
Endeleeni kuwafuga ili nanyi mpate mtelezo wa kugonga vichwa.
Msimu huu wa sikukuu nimeingiza 1 million profit kwa ku supply nguo za watoto nimezinunua mahali kwa bei chini nimeweka cha juu kidogo tuu na mzigo umeisha. Utasikia wote tukiuza nguo nani atanunua.
Issue ni kujua kusoma alama za nyakati na kujua mahitaji ya wananchi baasi unaingiza hela kihalali.
Hapo Kasie ruksa kwenda Mombasa beach na kula sikukuu kwa afya yangu.
Ndo maana sitaki kuwaendekeza hata kama wamekuwa warahisi maana wanabadilika kuwa dependents wa kudumu

Nataka niende kijini kwetu nika-spend holiday huko,

Kumbe kasie ni mjasiriamali, vizuri, ila wengine ni wajasiriamali na employees lakini bado wanapiga mizinga
 
Umeona haitoshi umehamia huku na kaavata unakabidili kila saaa.....unajitangaza kabisa unaombwa,mfyuu.....

jf inazidi kunifunulia vile ambavyo nilikuwa Siviamini na kukubaliana navyo.
 
Hali sio nzuri mtaani, simu zinazoingia ni za mizinga tupu, ukimpigia tu simu mdada mnayefahamiana ndo kama tiketi ya kukuomba hela, michepuko mingine inazidi kufanya booking sasa naachaje njia kuu nikasherekee sikukuu na mchepuko?.Hata mtaani nikisalimia wadada tu na stori kidogo kifuatacho ni hela ya sikukuu.

Naanza kuamini kuwa ni rahisi kuwapata wanawake katika kipindi hiki kuliko kipindi kingine chochote.

Kumbuka na urahisi wa kupata ukimwi.
 
Nadeal na multiple mizingas na zinakuja kwa rate ya juu hasa huu mwezi, wengine hatujatafutana mda mrefu lakini na wenyewe wamo

Specifically naongelea sikukuu, na hizi mizinga zinapigwa kwa gia tofauti tofauti

Watakua wanakuona wewe ni alosto sio bure, ndio maana unapata multiple mizinga,ujasiri huo wanaupata wapi ka sio unawachekea....
 
Watakua wanakuona wewe ni alosto sio bure, ndio maana unapata multiple mizinga,ujasiri huo wanaupata wapi ka sio unawachekea....
Brenda18,

Kuna wakike unakuta mmezoeana au mnafahamiana, huwezi tu kuweka sura ya mbuzi masaa 24

Kasinde amesema tunawaendekeza, ila inategemea
 
Last edited by a moderator:
Mgirik mambo?? sikukuu utakua wapi?? naomba nikukampani mpaka mwakampya jamaaaaaaaaaaaaani siunajua ntakua bored teh

dah! Ulijuaje hata mm ntakuwa bored kweli kwahyo kazi rahisi mama nipm namba yako uje ule maisha
 
Last edited by a moderator:
Sijataka u sympathize na wanawake wala mfumo. But at least show respect to all human kind regardless of gender, social class, age, etc. Do you think your post makes women your talking about better!


I can understand your philosophy but my statements doesnt in anyway degrade women

Mostly wanaomba bcoz they think they have something to trade it with, if not wangeomba wanawake wenzao

We unataka ni-sympathyze na mfumo uliokuwepo kabla? Unafikiri hawa watu wote hawajaenda shule au chuo? au unafikiri wote hawana kazi?
 
Back
Top Bottom