Wanawake wengi hawana hela ya sikukuu

Wanawake wengi hawana hela ya sikukuu

magufuli kabana mbaya..we tangu masolex aingie madarakan ushaskia hata wale mashankupe wa mjin wanafanya besdei?
Duh..................
Lakini hilo nalo neno!
Comments zako umehit kwenye ukweli fulani na umetufumbua macho.............
 
Hali sio nzuri mtaani, simu zinazoingia ni za mizinga tupu, ukimpigia tu simu mdada mnayefahamiana ndo kama tiketi ya kukuomba hela, michepuko mingine inazidi kufanya booking sasa naachaje njia kuu nikasherekee sikukuu na mchepuko?.Hata mtaani nikisalimia wadada tu na stori kidogo kifuatacho ni hela ya sikukuu.

Naanza kuamini kuwa ni rahisi kuwapata wanawake katika kipindi hiki kuliko kipindi kingine chochote.

Umeona haitoshi umehamia huku na kaavata unakabidili kila saaa.....unajitangaza kabisa unaombwa,mfyuu.....
 
When are we going to learn to respect each other regardless of gender? Hata kama unaombwa hela unadhani amekuomba sababu yeye ni mwanamke au sababu anashida? Kama mmeenda shule nadhani hapa ndiyo mahali pakujitofautisha na layman!Tujitahidi kuonyesha uelewa wetu kwa jamii inayotuzunguka na tuwe roll models kwa vizazi vijazo. Kama mwanamke anatumia mwili wake kama source of income then we have to ask ourselves why!Syo miaka mingi sana tumetoka kupambana na swala la elimu sawa kwa jinsia zote. Je victims wa mfumo uliopita wa elimu kwa mvulana kwanza tunajua walipo? Let's change the way we argue things and help one another!
I can understand your philosophy but my statements doesnt in anyway degrade women

Mostly wanaomba bcoz they think they have something to trade it with, if not wangeomba wanawake wenzao

We unataka ni-sympathyze na mfumo uliokuwepo kabla? Unafikiri hawa watu wote hawajaenda shule au chuo? au unafikiri wote hawana kazi?
 
Umeona haitoshi umehamia huku na kaavata unakabidili kila saaa.....unajitangaza kabisa unaombwa,mfyuu.....

Jiwe gizani.....
My dada brenda18 umekuwa mkali gafuraaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Umeona haitoshi umehamia huku na kaavata unakabidili kila saaa.....unajitangaza kabisa unaombwa,mfyuu.....

Hah hah huku tunaongelea mizinga mnazotupiga. Mimi ni mmoja wa victims, kipindi hiki mmezidi.

Eti nabadili avatar kila saa!!! nimebadilisha mara moja tu
 
[

QUOTE='Valentina';14848964]Mtumishi wacha kutuharibia teh[/QUOTE]



haahaaha!!! kumbe na mm nimetumbua jipu ee?!!! poleni sn tatzo ndio kazi yangu iyo!!!!!!. ww ukiniomba tarehe 2 Jan,2016 Nakupa
 
Back
Top Bottom