Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,099
Kwahiyo ndio mmeamua kutusema eeh!
haahaa!! hatuwasemi *valentina* Roho Wa Bwana Alishanifunulia. Nimetegua Mtego Wa Shetani.
Kwahiyo ndio mmeamua kutusema eeh!
Sio kwamba tunawasema, tunashare tu experience maana dahh!!
haahaa!! hatuwasemi *valentina* Roho Wa Bwana Alishanifunulia. Nimetegua Mtego Wa Shetani.
Hapo hata sijaomba vidude vyenyewe, ni ile mazoea tu
Duh..................magufuli kabana mbaya..we tangu masolex aingie madarakan ushaskia hata wale mashankupe wa mjin wanafanya besdei?
Hali sio nzuri mtaani, simu zinazoingia ni za mizinga tupu, ukimpigia tu simu mdada mnayefahamiana ndo kama tiketi ya kukuomba hela, michepuko mingine inazidi kufanya booking sasa naachaje njia kuu nikasherekee sikukuu na mchepuko?.Hata mtaani nikisalimia wadada tu na stori kidogo kifuatacho ni hela ya sikukuu.
Naanza kuamini kuwa ni rahisi kuwapata wanawake katika kipindi hiki kuliko kipindi kingine chochote.
He hee haya bakini na mizinga yenu nasie tubaki na vidude vyetu
I can understand your philosophy but my statements doesnt in anyway degrade womenWhen are we going to learn to respect each other regardless of gender? Hata kama unaombwa hela unadhani amekuomba sababu yeye ni mwanamke au sababu anashida? Kama mmeenda shule nadhani hapa ndiyo mahali pakujitofautisha na layman!Tujitahidi kuonyesha uelewa wetu kwa jamii inayotuzunguka na tuwe roll models kwa vizazi vijazo. Kama mwanamke anatumia mwili wake kama source of income then we have to ask ourselves why!Syo miaka mingi sana tumetoka kupambana na swala la elimu sawa kwa jinsia zote. Je victims wa mfumo uliopita wa elimu kwa mvulana kwanza tunajua walipo? Let's change the way we argue things and help one another!
Sasa na nyie msituombe vidude vyetu
WADADA: "Tunawapiga Pesa, X.mas na Mwaka mpya Tunavaa Ped"
hapa kwangu wakiniona wanakimbia wenyewe.
Umeona haitoshi umehamia huku na kaavata unakabidili kila saaa.....unajitangaza kabisa unaombwa,mfyuu.....
Mtumishi wacha kutuharibia teh
Ila vinabadilishwana na pesa....lakin haviuzwi. Sawa nimelewaaa.
Kwa hiyo ndo mnatumia hivo vidude kutafutia hela za sikukuu, poleni sana
Ila vinabadilishwana na pesa....lakin haviuzwi. Sawa nimelewaaa.
Kwahiyo ndio mmeamua kutusema eeh!