Wanawake wengi hawana hela ya sikukuu

Wanawake wengi hawana hela ya sikukuu

Jiwe gizani.....
My dada brenda18 umekuwa mkali gafuraaaaaa

Hahahaa hapana my kaka,huyu mleta mada ana mambo ya ajabu nimetoka nae mbali,
Mimi miss independent hili jiwe limenipita...
 
Last edited by a moderator:
Hivi unakuta kidude kimenyolewa fresh, kimevaa bikin nzuri unadhan kuna muujiza gani hapo?

Shem,
Tupo kwenye hili la hapa kazi tu, your employed or self employed. Umetumia mshahara wako kujinunulia hivyo vyote. Ni jambo jema.
Ha haa
 
Hali sio nzuri mtaani, simu zinazoingia ni za mizinga tupu, ukimpigia tu simu mdada mnayefahamiana ndo kama tiketi ya kukuomba hela, michepuko mingine inazidi kufanya booking,Hata mtaani nikisalimia wadada tu na stori kidogo kifuatacho ni hela ya sikukuu..

Hahahaha kumbe huko tandale kwenu wewe ndie boss uwiii,

Nakushauri hama hapo tandale hamia hata k,nyama.
 
Hali sio nzuri mtaani, simu zinazoingia ni za mizinga tupu, ukimpigia tu simu mdada mnayefahamiana ndo kama tiketi ya kukuomba hela, michepuko mingine inazidi kufanya booking sasa naachaje njia kuu nikasherekee sikukuu na mchepuko?.Hata mtaani nikisalimia wadada tu na stori kidogo kifuatacho ni hela ya sikukuu.

Naanza kuamini kuwa ni rahisi kuwapata wanawake katika kipindi hiki kuliko kipindi kingine chochote.
Watapatikana hao hao wanawake wategemea mizinga akina sie tuliojizoelea kujitegemea kila kitu sana sana ntamuomba mwanaume aje mahali tukae pamoja tuu kwa kampani ila gharama kila mtu mfuko wake.
Raha sana kujitegemea husumbuliwi na pii wala poo
 
Hata dada zako na shangazi zako pia ninatumai wanatia imani.Mwee hali mbaya
Kuhusu shangazi zangu sijui, ila nina mdogo wangu wa kike mmoja ambaye najitahidi asiwe na tamaa kwa kumtimizia mahitaji yake mengi, so mshkaji wake hawezi kulalamika kupigwa mizinga
 
Watapatikana hao hao wanawake wategemea mizinga akina sie tuliojizoelea kujitegemea kila kitu sana sana ntamuomba mwanaume aje mahali tukae pamoja tuu kwa kampani ila gharama kila mtu mfuko wake.
Raha sana kujitegemea husumbuliwi na pii wala poo

Anaokota huko wanafunzi wa form 4 na 6 hlf anakuja kujinadi hapa anapigwa mizinga,

Mzinga wenyewe utakuta elfu 20 lkn anavyowanadi!!
 
Hahahaha kumbe huko tandale kwenu wewe ndie boss uwiii,

Nakushauri hama hapo tandale hamia hata k,nyama.
Kuna mizinga ya kwenye simu, zingine za mbali na zingine za karibu
 
nimekuja! nilisema hapa kama tahadhali wengi wakabeza. nikatoa angalizo kwa vijana kuwa makini. na mada nyingne nimetoa juzi tu kuwa wamepanga kuwachuna wanaume pesa alafu cku ckukuu wanavaa pedi zao ili ww ucpate kitu. MUNGU OKOA VIJANA

wewe mchungaji mzembe sana, unahamasisha ngono.
 
Shem,
Tupo kwenye hili la hapa kazi tu, your employed or self employed. Umetumia mshahara wako kujinunulia hivyo vyote. Ni jambo jema.
Ha haa

Yani mnapenda free ride
 
Anaokota huko wanafunzi wa form 4 na 6 hlf anakuja kujinadi hapa anapigwa mizinga,

Mzinga wenyewe utakuta elfu 20 lkn anavyowanadi!!

We everhurt sio watoto wa f4 f6 kama unavyodhani, wengine masingle mothers, wengine wana kazi zao wengine hawana, wengine wapo chuo n.k . Btw sio kwamba nipo nao kwenye mahusiano
 
We everhurt sio watoto wa f4 f6 kama unavyodhani, wengine masingle mothers, wengine wana kazi zao wengine hawana, wengine wapo chuo n.k . Btw sio kwamba nipo nao kwenye mahusiano

Sawa,
Warekebishie sasa kumbe wajua kua wanashida vp uwasimange?
 
Hahahaha kumbe huko tandale kwenu wewe ndie boss uwiii,

Nakushauri hama hapo tandale hamia hata k,nyama.

Hahahaa yani huyu hujamgundua,hapo kaombwa na kibaby chake utakuta laki tu anaona nyingiiiii,kuja kumuanika huku...
Watu wanaombwa magari wanatoa huyu si angetangaza mpaka CNN....
 
Back
Top Bottom