Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,722
- 6,593
Haya bhana ila lala na hili, unaweza kuwa na chochote kwenye ndoa yako lakini kwa tabia zako wewe mwenyewe utamfanya mwanaume asikutamani wala asiwe na upendo kwako dushe haisimani kwako inaenda inasimamia nyumba ndogo,so think twice my dada.
Hapa hata magari ya mkopo yanahusika?
Ni heri hata huyo dada wa kenya. Mi ninajuwa wana jf wote wana magari.
Aisee,pole sana kulia si unalia chumbani!! Usicheze na maisha wapo wanaume wanamagari wanaishia kupandisha vimada.
Mdogo wangu umeolewa? Niko kwny ndoa 2yrs..hv unafikir ndani ya ndoa ni km girlfriend n boyfriend mnatiana kila mkionana? Mnaeza muwe hamjagombana but mkalala hata 3wiks bila kugusana..na inawezekana wala hakusaliti na wala ww husaliti ila ni ubize tu na majukumu..sasa usifikir hata ukiolewa na huyo maskini wa kuanza nae eti ili kum bembeleza mtagegedana daily tena huyo ndo full stress.. workhard mamy tengeneza vyako tafuta mwanaume mwny vyake muanze maisha..maswala ya baby tutalala hata chini yamepitwa na wakati..goodmorning
Mdogo wangu umeolewa? Niko kwny ndoa 2yrs..hv unafikir ndani ya ndoa ni km girlfriend n boyfriend mnatiana kila mkionana? Mnaeza muwe hamjagombana but mkalala hata 3wiks bila kugusana..na inawezekana wala hakusaliti na wala ww husaliti ila ni ubize tu na majukumu..sasa usifikir hata ukiolewa na huyo maskini wa kuanza nae eti ili kum bembeleza mtagegedana daily tena huyo ndo full stress.. workhard mamy tengeneza vyako tafuta mwanaume mwny vyake muanze maisha..maswala ya baby tutalala hata chini yamepitwa na wakati..goodmorning
Crazy like u ..... selfishness inakuendesha mwanamke mmoja wa kenya unatutukana wote pamoja na mama yako shangazi yako vichaaaa mfyuuuuu....
Kwanin??vikojoleo vyao vipo unique au??
Nakuja...
Aaaaah, unajua mimi huwa siwaelewi vile! Kwa nini akizungumzwa mwansmke mnakimbilia kwa mama, shangazi, dada etc. Mbona mtu akioa/kuolewa hamsemi kaolewa na baba, mjomba, kaka yake. Tujifunze ustaarab jamani kwani hata mleta mada kasema baadhi na wala siwote. Kwani sihata nyie mmekwisha prove hilo, kila kukicha mnadai "mwanaume hela, sura tutavumiliana". Kuna tofauti gani kati ya nyie na huyo binti mkenya.....!?
Hahaha..hapo umemaliza..!
Lakini mbona nawaona kwenye 'matatu' wakisoma michango ya jf? Hii forum ni hatare kwa kweli, kila mtu anacho..!
na kweli mwanaume hela unahela untaka nini... kichaa pia mimi
duh mkuu umeniona mimi nini.....maanake jf pages huwa zinafanya safari yangu inakuwa fupi.